FIFA yamruhusu Okwi kuchezea Yanga

FIFA yamruhusu Okwi kuchezea Yanga

kamanda pole sana muulize msomali pesa imeenda wapi??? kwani uwezi kuuza gari kwa mkopo na kadi ya gari ukatoa!!
mwenye macho aambiwi tanzama muulize msomali kala na nani pesa?
pili huyu kipukuswa kazi yake ni kukamata paka wa uchawi siku izi hana soko alie kua akimtumia ni kasim sasa msomali ana wataalam wake huyu kamdump
maelezo zaid utayapata kijiweni

Kamanda umenigusa kweli kweli. Kumbe ndiyo maana Kipukuswa siku hizi haonekani pale Leaders!!! Tena baada ya Chagga Bite kuondolewa ndiyo kapotea kabisa kabisa!!
 
mbona link ni ile ile ya MTN na FUFA, naomba utuwekee LINK ya FIFA ikionyesha kikao kilikaa na lini na barua rasmi inayoonyesha kuwa wamemruhusu la sivyo utakuwa unapiga bra bra zile zile za kaka yake KIIZA HAMISI kujifanya ni mtendaji wa FUFA

airport.jpg


























MKuu mbona unalia lia?
 
namchukia rage lakini kwa hili naona anafanyiwa uhuni..

Hivi mkuu unaweza uza nyumba ukatoa na hati kabisa? Kwa akili yako Rage anavyo penda pesa kweli angemuuza Okwi $300,000/= akamwacha aende tu na apewe na kibali? Kuweni wa wazi.
 
Huyu tajiri wa yanga ataua mpira nchi hii. Yeye akili yote kuimaliza Simba tu.

Kweli mkuu umeongea point.Ndio maana mpira wetu hautakuja kuendelea kamwe kwani usajiri wetu ni kutafuta sifa tu tena kukomoana bila kuangalia mahitaji ya kocha.
 
Kweli mkuu umeongea point.Ndio maana mpira wetu hautakuja kuendelea kamwe kwani usajiri wetu ni kutafuta sifa tu tena kukomoana bila kuangalia mahitaji ya kocha.

Ni kweli kusajili Berko na Mapunda kwa mpigo kwa vile walikuwa Yanga ni ...
 
nawasalim ndugu wanaspoti wote wa jf,salam zaidi zizidi kwa wanayanga

Salamu zako tumezipokea kwa furaha kubwa sana watoto wa Jangwani, sijajua watoto wa msimbazi wamepokeaje salamu zako. Yanga bhana.
 
Tena wajinyonge hadharani ili tupate idadi kamili.
....kwa lipi!!!....kama kweli Okwi ataidhinishwa kucheza Yanga litakua ni jambo la kawaida saana; na wala msitarajie kuwa Simba itayumba tena-tayari imeisha jipanga, subiria tu kupokea mvua nyingine ya magoli.
 
....kwa lipi!!!....kama kweli Okwi ataidhinishwa kucheza Yanga litakua ni jambo la kawaida saana; na wala msitarajie kuwa Simba itayumba tena-tayari imeisha jipanga, subiria tu kupokea mvua nyingine ya magoli.

Ni vizuri sana kijifariji hata kama hakuna matumaini ..na nivibaya sana kujivunja moyo we mwenyewe ili hali hali halisi unaiona..ni kama daktari kumpa moyo mgonjwa wake kua atapona huku akijua fika kabisa inahitaji muujiza wa upendeleo kwa mgonjwa kuendelea kuishi ndo nyie mikia(simba) mnavyojipa moyi..sizitaki mbichi hizi sungura alikisemea baada ya kushindwa kuzifikia ndizi
 
Ni vizuri sana kijifariji hata kama hakuna matumaini ..na nivibaya sana kujivunja moyo we mwenyewe ili hali hali halisi unaiona..ni kama daktari kumpa moyo mgonjwa wake kua atapona huku akijua fika kabisa inahitaji muujiza wa upendeleo kwa mgonjwa kuendelea kuishi ndo nyie mikia(simba) mnavyojipa moyi..sizitaki mbichi hizi sungura alikisemea baada ya kushindwa kuzifikia ndizi
....tuite majina yoyote mnayotaka ata hilo la MIKIA sawa, lakini mkumbuke ili muonekane Bingwa wa Soka ni mpaka mpambane na kushinda timu iliyo-Bora na wakati huohuo timu yenu ikiwa bora; sisi Simba hilo tunalijua hatutaangalia cha kuwa na Okwi, Yondani, Kaseja, Ngasa, Chuji na wala majina hayo makubwa yanayowanyima usingizi tutaendelea kukaza tu na mtashangaa-----Yanga sasa hivi ni kama ilivyo Chelsea majina makubwa ya akina Etoo, Torres na Essiene lakini bado inakimbizwa na Sunderland
 
....tuite majina yoyote mnayotaka ata hilo la MIKIA sawa, lakini mkumbuke ili muonekane Bingwa wa Soka ni mpaka mpambane na kushinda timu iliyo-Bora na wakati huohuo timu yenu ikiwa bora; sisi Simba hilo tunalijua hatutaangalia cha kuwa na Okwi, Yondani, Kaseja, Ngasa, Chuji na wala majina hayo makubwa yanayowanyima usingizi tutaendelea kukaza tu na mtashangaa-----Yanga sasa hivi ni kama ilivyo Chelsea majina makubwa ya akina Etoo, Torres na Essiene lakini bado inakimbizwa na Sunderland

Kwani mkuu ni timu ipi inaongoza ligi sasa hivi?...

Na Simba iko nafasi ya ngapi?

Unazi kitu kibaya sana jamani...
 
Back
Top Bottom