Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,153
FIFA inaleta timu kuja kuchunguza sakata la Malinizi na wenzake..wakati hayo yakiendeelea kaimu mwenyekiti wa TFF Karia amesema kunani sintofahamu iliopo ni vyema tukashirikisha na wenzetu FIFA wameliona hilo..
Ni vizuri tufanye uchaguzi ambao kila mtu ana imani nao na maisha lazima yaendelee wenzetu wanakuja tunaitisha kamati ya utendaji soon kuangalia na mengineyo.
Ni vizuri tufanye uchaguzi ambao kila mtu ana imani nao na maisha lazima yaendelee wenzetu wanakuja tunaitisha kamati ya utendaji soon kuangalia na mengineyo.