buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 3,140
- 6,288
Mimi mgeni humu kumbe hata uku matusi yapo nilijua uku kuna wastarabu tu
Wafuasi uchwara ndo wana matusi
Mimi mgeni humu kumbe hata uku matusi yapo nilijua uku kuna wastarabu tu
Wale ni wezi wala usikatae, watakua sio wezi hadi hapo mahakama pia itakapothibitisha kuwa sio wezi. Kama kuna ndg yako na wewe usiumie.Ukimwita mtu mwizi bila ushahidi wa kimahakama nitakuuliza kama wamamuiba mama yako! Ukome kuwaita watu wezi bila ushihidi, kumbe inauma
Acha wajinga washangilie make FIFA wakiona siasa wanacho fanya ni kupiga pini tu.Ivi ishu ya malinzi vp? Hayo makosa yao ni ya lini? Anyway nikae kimya maana sijui kitu, but let justice prevail! Ubaya wa FIFA wakishaona michezo michafu huwa wanamaamuzi yao yasio na afya kwa taifa!
Unajua sheria za FIFA lakini? wale wana sheria zao sasa kama kuna siasa inafanyika hapo ndo mtawajua FIFA ni nani hasa.Fifa watafanya uchunguzi wao na serikali itaendesha kesi kivyao. Lazima Fisadi Malinzi anyooshwe,kazoea kujichotea pesa za TFF kiulaini tu.
Una basics za sheria? kama huna basi kwaheriWale ni wezi wala usikatae, watakua sio wezi hadi hapo mahakama pia itakapothibitisha kuwa sio wezi. Kama kuna ndg yako na wewe usiumie.
Ukitukana utatukanwa. Usipotukana hutatukanwaMimi mgeni humu kumbe hata uku matusi yapo nilijua uku kuna wastarabu tu
Nywele nyeupeKwani uchaguzi mkuu wa 2015 Bw.Malinzi alikuwa upande gani vilee?
Huyu hajui hata,presumption of innocence.Una basics za sheria? kama huna basi kwaheri
Unavyowaitaga COM wezi wamekuibia nn?amembaka mama yako?
COM ni nini?Unavyowaitaga COM wezi wamekuibia nn?
Sorry mkuu typing error....ni CCMCOM ni nini?
Tuhuma! Kama mahakama haijatamka au mtyu mwenyewe kukiri, kusema ni mwizi ni makosa!Unavyowaitaga COM wezi wamekuibia nn?
alisema CCM, alirekebishaKasahau OIL
NAHISI ALIMAANISHA OIL COM