balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,459
- 12,584
Kabisa mkuu,serikali kwanini iingilie mambo ya soka? Kuna pesa ya serikali iliyoliwa? Timu za taifa serikali ilichangia kiasi gani? Mbona viwanja vyote wameikabidhi CCM na pesa wanachukua lkn viwanja viko hovyo? Hapa kuna chuki na ukabila dhidi ya Viongozi wa TFF.Ngoja FIFA iwapige pini akina Kolomije na Machatochato.waje tu hapa kuna something wrong