BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,334
- 8,813
Kuna watu hawakosi sababu, watamtafutia kila aina ya kasoro, kwanza ilikua oh hana kombe la dunia/timu ya taifa, jamaa akawaonyeshea akabeba makombe matatu ndani ya mwaka mmoja
World cupšfrance kadundwa
Copa America šBrazil kadundwa
Kombe la mabarašItaly kadundwa
Sasa wamebaki na msemo ballon za mchongo š
Maradona na Messi wamenifanya niupende Mpira....
World cupšfrance kadundwa
Copa America šBrazil kadundwa
Kombe la mabarašItaly kadundwa
Sasa wamebaki na msemo ballon za mchongo š
Maradona na Messi wamenifanya niupende Mpira....
france kadundwa


