FIFA yaipa Yanga siku 45 kumlipa Okra Magic Tsh 66,612,000.00 na siku 30 kulipa fine ya Tsh 8,190,000.00

Abdul Said Naumanga

JF-Expert Member
Jan 28, 2024
673
1,313
IMG_7244.jpeg

Katika uamuzi wa hivi karibuni kutoka kwa Mahakama ya Usuluhishi wa Migogoro ya FIFA (FIFA Dispute Resolution Chamber), Yanga SC, moja ya klabu maarufu za mpira wa miguu nchini Tanzania, imetakiwa kumlipa mchezaji wa zamani wa Bechem United, Augustine Okrah, kiasi cha dola za Kimarekani 24,400 sawa na Tsh 66,612,000.00/= kama fidia ya mshahara ambao haukulipwa wakati wa kipindi chake na klabu hiyo.

Mzozo huu unahusiana na kuondoka kwa Okrah kutoka Yanga SC, maarufu kama Wana Jangwani, baada ya mkataba wake kuvunjika kwa njia isiyofaa, hali iliyopelekea Okrah na timu yake kuwasilisha malalamiko kwa FIFA. Baada ya uchunguzi wa kina, FIFA iliamua kuwa Yanga ilikiuka makubaliano ya mkataba na hivyo ikaamuru malipo hayo kufanyika.

Zaidi ya malipo hayo ya dola 24,400, Yanga pia imepigwa faini ya dola 3,000 sawa na Tsh 8,190,000.00/= kwa FIFA, na inatakiwa kulipa ndani ya siku 30 tangu tarehe ya kuarifiwa kwa uamuzi huo. FIFA imetoa onyo kali kwa Yanga, ikisema kuwa iwapo hawatalipa kiasi hicho kwa wakati, klabu hiyo itakabiliwa na adhabu zaidi, ikiwa ni pamoja na marufuku ya kusajili wachezaji wapya kitaifa na kimataifa hadi watakapomaliza malipo yao.

Hii si mara ya kwanza kwa Yanga SC kujikuta katikati ya mvutano wa kisheria na wachezaji wake. Msimu uliopita, Okrah aliitumikia Simba SC, mahasimu wakubwa wa Yanga, kabla ya kurejea ligi kuu ya Ghana akiwa na Bechem United, lakini alijiunga tena na Yanga mnamo Januari 2024 kabla ya mkataba wake kuvunjika ghafla.

Kwa mujibu wa uamuzi wa FIFA, endapo Yanga watashindwa kulipa kiasi kilichopangwa ndani ya siku 45, watafungiwa kusajili wachezaji kwa vipindi vitatu vya usajili mfululizo, hali itakayoathiri vibaya mipango yao ya kujipanga kwa mashindano yajayo ya kitaifa na kimataifa.​
IMG_7245.jpeg

 
Hizi timu za Kkoo, hasa Uto, mbona zinatabia ya kujiaibusha sana, Hela ndogo to hiyo mpka mtangazwe kwenye magazeti Habari kutoka fifa. TFF inabidi wawe wakari sana, otherwise itaanza kueleta ukakasi, wachezaji wa nje wataanza kuiweka League ya bongo kama last option, yaani mtu akikosa Kwa kwenda ndio atakuja bongo. Haya Matatizo yamekuwa yanajirudia rudia sana.
 
Hizi timu za Kkoo, hasa Uto, mbona zinatabia ya kujiaibusha sana, Hela ndogo to hiyo mpka mtangazwe kwenye magazeti Habari kutoka fifa. TFF inabidi wawe wakari sana, otherwise itaanza kueleta ukakasi, wachezaji wa nje wataanza kuiweka League ya bongo kama last option, yaani mtu akikosa Kwa kwenda ndio atakuja bongo. Haya Matatizo yamekuwa yanajirudia rudia sana.
Kama nakuelewa hivi🤔
 
View attachment 3109287
Katika uamuzi wa hivi karibuni kutoka kwa Mahakama ya Usuluhishi wa Migogoro ya FIFA (FIFA Dispute Resolution Chamber), Yanga SC, moja ya klabu maarufu za mpira wa miguu nchini Tanzania, imetakiwa kumlipa mchezaji wa zamani wa Bechem United, Augustine Okrah, kiasi cha dola za Kimarekani 24,400 sawa na Tsh 66,612,000.00/= kama fidia ya mshahara ambao haukulipwa wakati wa kipindi chake na klabu hiyo.

Mzozo huu unahusiana na kuondoka kwa Okrah kutoka Yanga SC, maarufu kama Wana Jangwani, baada ya mkataba wake kuvunjika kwa njia isiyofaa, hali iliyopelekea Okrah na timu yake kuwasilisha malalamiko kwa FIFA. Baada ya uchunguzi wa kina, FIFA iliamua kuwa Yanga ilikiuka makubaliano ya mkataba na hivyo ikaamuru malipo hayo kufanyika.

Zaidi ya malipo hayo ya dola 24,400, Yanga pia imepigwa faini ya dola 3,000 sawa na Tsh 8,190,000.00/= kwa FIFA, na inatakiwa kulipa ndani ya siku 30 tangu tarehe ya kuarifiwa kwa uamuzi huo. FIFA imetoa onyo kali kwa Yanga, ikisema kuwa iwapo hawatalipa kiasi hicho kwa wakati, klabu hiyo itakabiliwa na adhabu zaidi, ikiwa ni pamoja na marufuku ya kusajili wachezaji wapya kitaifa na kimataifa hadi watakapomaliza malipo yao.

Hii si mara ya kwanza kwa Yanga SC kujikuta katikati ya mvutano wa kisheria na wachezaji wake. Msimu uliopita, Okrah aliitumikia Simba SC, mahasimu wakubwa wa Yanga, kabla ya kurejea ligi kuu ya Ghana akiwa na Bechem United, lakini alijiunga tena na Yanga mnamo Januari 2024 kabla ya mkataba wake kuvunjika ghafla.

Kwa mujibu wa uamuzi wa FIFA, endapo Yanga watashindwa kulipa kiasi kilichopangwa ndani ya siku 45, watafungiwa kusajili wachezaji kwa vipindi vitatu vya usajili mfululizo, hali itakayoathiri vibaya mipango yao ya kujipanga kwa mashindano yajayo ya kitaifa na kimataifa.​
View attachment 3109288
Vipi yule wakili wao msomi Simon Patrick anazo habari hizi?Mwaka ujao itakuwa zamu ya Baleke kuvuta mkwanja.
 
View attachment 3109287
Katika uamuzi wa hivi karibuni kutoka kwa Mahakama ya Usuluhishi wa Migogoro ya FIFA (FIFA Dispute Resolution Chamber), Yanga SC, moja ya klabu maarufu za mpira wa miguu nchini Tanzania, imetakiwa kumlipa mchezaji wa zamani wa Bechem United, Augustine Okrah, kiasi cha dola za Kimarekani 24,400 sawa na Tsh 66,612,000.00/= kama fidia ya mshahara ambao haukulipwa wakati wa kipindi chake na klabu hiyo.

Mzozo huu unahusiana na kuondoka kwa Okrah kutoka Yanga SC, maarufu kama Wana Jangwani, baada ya mkataba wake kuvunjika kwa njia isiyofaa, hali iliyopelekea Okrah na timu yake kuwasilisha malalamiko kwa FIFA. Baada ya uchunguzi wa kina, FIFA iliamua kuwa Yanga ilikiuka makubaliano ya mkataba na hivyo ikaamuru malipo hayo kufanyika.

Zaidi ya malipo hayo ya dola 24,400, Yanga pia imepigwa faini ya dola 3,000 sawa na Tsh 8,190,000.00/= kwa FIFA, na inatakiwa kulipa ndani ya siku 30 tangu tarehe ya kuarifiwa kwa uamuzi huo. FIFA imetoa onyo kali kwa Yanga, ikisema kuwa iwapo hawatalipa kiasi hicho kwa wakati, klabu hiyo itakabiliwa na adhabu zaidi, ikiwa ni pamoja na marufuku ya kusajili wachezaji wapya kitaifa na kimataifa hadi watakapomaliza malipo yao.

Hii si mara ya kwanza kwa Yanga SC kujikuta katikati ya mvutano wa kisheria na wachezaji wake. Msimu uliopita, Okrah aliitumikia Simba SC, mahasimu wakubwa wa Yanga, kabla ya kurejea ligi kuu ya Ghana akiwa na Bechem United, lakini alijiunga tena na Yanga mnamo Januari 2024 kabla ya mkataba wake kuvunjika ghafla.

Kwa mujibu wa uamuzi wa FIFA, endapo Yanga watashindwa kulipa kiasi kilichopangwa ndani ya siku 45, watafungiwa kusajili wachezaji kwa vipindi vitatu vya usajili mfululizo, hali itakayoathiri vibaya mipango yao ya kujipanga kwa mashindano yajayo ya kitaifa na kimataifa.​
View attachment 3109288
Yanga bhana wanataka kuwa wa kimataifa huku wanajijua kabisa ni matapeli..!🤣🤣
 
Niliwahi kusema na leo narudia kena kwamba idara ya sheria ya Yanga inacheza chini ya kiwango. Wanachojua ni kuita press alaf wanaeleza utopolo. Angalia idara ya sheria ya Simba yani hata mkuu wa idara humfahamu. Lkn huyu wa Yanga anashinda kesi za kina Magoma lkn ukienda internationalwise ambako ndio kuna kesi za maana ni mdogo sana.

Na wakati mwingine labda anafikiri kuwa mwanasheria ni kusimama mahakamani. Wakati kazi yake inapaswa kuanza kwa kutoa ushauri wa kisheria ili wasifike huko mahakamani.

Haiwezekani kila mchezaji akipeleka kesi nyie mnashindwa tu
 
Niliwahi kusema na leo narudia kena kwamba idara ya sheria ya Yanga inacheza chini ya kiwango. Wanachojua ni kuita press alaf wanaeleza utopolo. Angalia idara ya sheria ya Simba yani hata mkuu wa idara humfahamu. Lkn huyu wa Yanga anashinda kesi za kina Magoma lkn ukienda internationalwise ambako ndio kuna kesi za maana ni mdogo sana.

Na wakati mwingine labda anafikiri kuwa mwanasheria ni kusimama mahakamani. Wakati kazi yake inapaswa kuanza kwa kutoa ushauri wa kisheria ili wasifike huko mahakamani.

Haiwezekani kila mchezaji akipeleka kesi nyie mnashindwa tu
Anashinda
zenye
maagiz
 
Timu la matapeli, kazi kutapeli tu lipeni hela za watu matapeli wakubwa nyie. Mnaliabisha soka letu.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Back
Top Bottom