FIFA Confederations Cup Brazil 2013

FIFA Confederations Cup Brazil 2013

Shughuli pevu kati ya Old school guard Chiellini na kiberenge Navas!hawa ndio wanadictate pace ya mchezo!
 
Swali muhimu hilo Mkuu

japo ukocha ni professional lakini mida mingine wanakera sana, mpaka sasa sielewi ni kwa nini Brazil hawakumchagua Ramires kitu kilichofanya nihame timu yao kwenye michuano hii. yule dogo manywele upanga anajua sana wakimpa nafasi atawasaidia.
 
hawa spain nao wana linda au ndo mamboyanakuwa magumu
 
japo ukocha ni professional lakini mida mingine wanakera sana, mpaka sasa sielewi ni kwa nini Brazil hawakumchagua Ramires kitu kilichofanya nihame timu yao kwenye michuano hii. yule dogo manywele upanga anajua sana wakimpa nafasi atawasaidia.

Brazil wana wachezaji wengi sana,wangeweza mwita akakaa benchi,umeona Spain kina Mata,Cazola wanakaa benchi
 
japo ukocha ni professional lakini mida mingine wanakera sana, mpaka sasa sielewi ni kwa nini Brazil hawakumchagua Ramires kitu kilichofanya nihame timu yao kwenye michuano hii. yule dogo manywele upanga anajua sana wakimpa nafasi atawasaidia.

Ramires mgonjwa nasikia!
 
Prandelli kaua timu.Marchisio out!Aquilani hakabi jamani!
 
Tumejitahidi lakini mbele hakuna wafungaji.hawa jamaa.hii mechi atakayemuotea mwenzie kagoli,bhaas!
 
Nadhani ntakuwa fair nikisema Girladino hapati mipira ya kumfaa.Playmakers wetu vipi?
 
Namwona Giovinco anapasha, bora akawakimbize kina Shakira kule nyuma
 
Back
Top Bottom