Tunapoteza mipira sana mbele.hii inachosha kiungo kwa kazi ya kupanda na kushuka haraka na kuleta constant presha kwenye defence.sijui tutaweza kuabsorb hii presha hadi saa ngapi bila kufanya kosa la kijinga na kupoteza concentration!tuache hii kitu.tucheze kama mwanzo.
kuanzia leo Pirlo ana miaka 23
Kwisha habari yetu. mchelea mwana kulia ulia yeye.Naona sasa ni Spain vs Buffon
Moyo unataka kutoka