Basi sawa mkuu,shukraniKama nilivosema awali, ni chaguo tu unaweza ukacheza ukalipenda zaidi ya Fifa.
Wapenzi wa Gaming Pc & BuildingPc master race nawaonaa,kuna mwenye custom gaming pc humu?
Shukran mkuu
Hongera mkuu PC yako ni aina gani na specifications zake ni zipi? Na uliipataje maana kwa kuweza cheza hilo game computer yako ni kiboko ... Nisaidie/nielekeze namna ya kuweza ipata nami pia.
Game zote nzuri sema FIFA ndo baba laoIla ni zuri au? maana nami nimechza fifa ila pes sijawai kucheza ndio kwanza nali download
pitia hii nyuziHongera mkuu PC yako ni aina gani na specifications zake ni zipi? Na uliipataje maana kwa kuweza cheza hilo game computer yako ni kiboko ... Nisaidie/nielekeze namna ya kuweza ipata nami pia.
Mwenye ram ya 6gb vpKama nilivosema awali, ni chaguo tu unaweza ukacheza ukalipenda zaidi ya Fifa.
ambalo ni Downloaded Tayari. Nitanunua
Uko mkoa gani?ambalo ni Downloaded Tayari. Nitanunua
Nipe direct link Mkuu kama ulifanikiwa nami nilishushe .Nipo hapa na download kitu cha pes 2017 kimefik asilimia 94.4