natamani ntukane lakini mmm.m2 mwenye medula inayofanya kaz vyema hawez kushabikia u....e huo wa fiesta wanaenda kuduu tu huko na haina tija yoyote kwa sie vijana ni upumbav kabisa fiesta. namuunga mkono sugu.nyambaf fiestafiesta ndo nini kwanza? si kudumisha ufuska tu mi namuunga mkono sugu
EMT,atapoteza kiti kwa lipi?Asipokuwa makini atapoteza hicho kiti 2015. Chadema watafute mtu mwingine 2015.
Ili tuwe wana jf halisi tungejadili hoja yake tuone ina mantiki gani, si kazi (moral) ya ethical jf members kujadili watu bali hoja.mWENYE C V KAMILI YA SUGU PLEASE NDIPO TUENDELEE KUJADILI HAYO MENGINE
Mbunge wa Mbeya Mr. II amepiga marufuku matamasha yote ya FIESTA mkoani mbeya kwa madai kuwa yanaua vipaji vya wasanii. Source status yake ya FB.
fiesta ndo nini kwanza? si kudumisha ufuska tu mi namuunga mkono sugu
Kwani yeye ndo nani, au kaanza kuchanganyikiwa mapema.