Fiesta DSM 2017 Special Thread;

Nasubiria saa kumi,kumi na moja watu watakavyoporwa

Panya road wote lazima wametia mguu na panga viunoni sasa jichanganye urudi kwa miguu

Kila fiesta mida ya kurudi watu huwa wanalia option ni kurudi saa moja asubuhi kama huna gari na 90% hawana magari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…