Fiesta 2011

Uncle Rukus

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2010
Posts
2,415
Reaction score
398







Hizi kucha za huyu dada zimeniacha hoi!





 

Attachments

  • 42.jpg
    139 KB · Views: 136
Doooh...Huyu mzungu atakuwa Mdau Serengeti Breweries... akiziona hizi picha leo lazima aibu impate...
 
Inaonyesha kizazi cha kitanzania sasa mwendo ni disco na fiesta tuuuu kwa vijana, mi nadhani hii ni kwa sababu viwanja na sehemu zote za wazi zimechukuliwa na mafisadi sasa vijana wa taifa raha yao ni fiesta , kiduku na kucheza disco,,,,sijui mwisho wake utakuwa wapi?nadhani tunahitaji kufikiri kwa kina kwa manufaa ya taifa la kesho.......nawakilisha[/b][/b][/font]
 
Mambo ya vijana haya, wengine waliiba magari wakatokomea hadi kesho yake.
 


Huyu jamaa aliye nyuma ya DULI namjua ila daaah
sikutegemea kama namwenyewe anajipa raha kivile

Mtoto wa kimarangu hakamtiki siku hizi....Huyu demu aliye nae nimemsahau jina kidogo, Namkumbuka enzi hizo nasali pande za mbezi b nilikuwa na muonaga church alikuwa hot sana, siku hizi naona kazeeka kuliko sisi wazee wenyewe!
 
huyu mzungu ni maarufu kama Babu Serengeti na ni boss SBL.Kwatotoz za kibongo ni mbaya
 
Kazi ilikuwa kubwa,huyo binti na mzungu naona ilizimika kabisa.
 
hakuna cha raha hapo ni mateso bila chuki
 
Huyo mzungu, kwa wadhifa alionao,,kwa uzungu alionao,,kwa wakati ule wa nyomi la watoto wa geti kali na vyuo, ivi huyo demu alikua na hadhi gani ya kua nae???
 
Huyo mzungu, kwa wadhifa alionao,,kwa uzungu alionao,,kwa wakati ule wa nyomi la watoto wa geti kali na vyuo, ivi huyo demu alikua na hadhi gani ya kua nae???

Wazungu wanpenda sana kuku wa kienyeji! Hao watoto wa geti kali atakuna nao wapi?
 
Mtoto wa kimarangu hakamtiki siku hizi....Huyu demu aliye nae nimemsahau jina kidogo, Namkumbuka enzi hizo nasali pande za mbezi b nilikuwa na muonaga church alikuwa hot sana, siku hizi naona kazeeka kuliko sisi wazee wenyewe!

Huyo ni Allan Chonjo, ni Meneja wa bia ya Serengeti...Uncle Rukus huyo ni Mchumbake mbona bado kifaa sana au kazeeka sehemu gani Uncle Rukus??? Jina lake linaanza na B***
 
huyo mdada hiyo pic ya pili, hilo li bra/nywele pwehhh....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…