Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,573
Washkaji wengi ni wanafiki kama kamasi ndani ya pua/
Usipowatoa wanaziba fasta ushindwe kupumua/
na ukiwatoa wanatanda usoni ili usijione unajua.
Fid,neno
hili haliitaji mjadala liko wazi!
Washkaji wengi ni wanafiki kama kamasi ndani ya pua/
Usipowatoa wanaziba fasta ushindwe kupumua/
na ukiwatoa wanatanda usoni ili usijione unajua.
Fid,neno
Ukiwa wa ukweli hau-bounce na hautafeli,
Bingwa anashika fasta kama mimba na ma-house girl
Ielewe mitaa
Kwenye ukurasa wake wa Insta...dada mmoja alimwambia Fid q nakupenda hadi naumwa
Reply toka kwa Fid Q... "ugua pole dada"
Duh,hyo noma
Usimlaum mungu kwa kumuumba simba ila mshukuru kwa kumnyima mabawa
Usimlaum mungu kwa kumuumba simba ila mshukuru kwa kumnyima mabawa
hiki ni kijiko unachokiona,baada ya kula kwa mkono/
ndomu usioiona mpaka ukishafanya ngono/
neno la kuponya lililokosa mdomo/
na hili bonge la ngoma kwenu,kwangu ni kama somo
chorus fid,wazo la leo with stamina