Fid Q: Best Quotes from his music, his interviews & from himself

Fid Q: Best Quotes from his music, his interviews & from himself

Nguvu ya elimu ina umuhimu wake pale elimu inapotumika................I will never get tired of this man dem it.
 
"Najiuliza swali kisha napata jibu,nakubali kua maisha hayaji bila ubandidu", hii ni kwny ngoma yake inatwa hey lord
 
"Ni rahisi kua baba mzaz ila kua baba ni kazi", ngoma inatwa fei
 
"Uzuri na urembo wa kweli upo ndan wa nje mnajiongopea muuza sura usikose amani makunyanzi yakikutokea", propaganda
 
Ninapokuja, siji kwa speed ya kishamba wanasema fid wa siku hizi ana kifriji sio mwembamba
 
Kubanda😀😀
 

Attachments

  • 1452460346302.jpg
    1452460346302.jpg
    91 KB · Views: 193
Nasubiri kusikia kutoka kwenye Mafanikio na Kibiriti.
 
OMG Seriously ''Kala Jeremiah'' now plofiled as a long time artist !

Any way straight to the thread intention

''Unakula nao happy leo, Kesho wanamkata Mkeo''

Fid Q - Sihitaji Marafiki
Dear God hana noma mpaka kala Jeremiah kala tuzo
 
Back
Top Bottom