Weka hayo mashairi tuyaone!
Na haka pia ''Maneno yao matamu,midomo yao inanuka'' - Propaganda
"Uzuri na urembo wa kweli upo ndan wa nje mnajiongopea muuza sura usikose amani makunyanzi yakikutokea", propaganda
Ielewe mitaa joh, sio propaganda mkuu
maisha kam kioo ukiyachekea nayo yanacheka @ king fid q
Yaap nlikosea jombaa
Dear God hana noma mpaka kala Jeremiah kala tuzoOMG Seriously ''Kala Jeremiah'' now plofiled as a long time artist !
Any way straight to the thread intention
''Unakula nao happy leo, Kesho wanamkata Mkeo''
Fid Q - Sihitaji Marafiki