Kuna mstari anasema "Mpende mkeo na siri zako mwambie Mama yako" Hapa funzo ni kwamba Mama pekee ndio anaweza kukufichia siri zako na akazichukulia kama ni zake.
Huwa najiuliza sana, na sijui inakuaje/
Unapomuomba Mungu akuondolee wanafiki, ndipo unapowapoteza washikaji/
asilimia 85 ya quotes anazoweka kwenye mashairi yake anaiba toka kwa wana malenga wetu.
ni uvivu wa wabongo kwenye kusoma ndo maana wanamuona jamaa mkali na anatoa quotes mpya.
Kwani Fid Q Ni mwanamuziki ama mwizi wa beats za watu?
Washkaji wengi ni wanafiki kama kamasi ndani ya pua/
Usipowatoa wanaziba fasta ushindwe kupumua/
na ukiwatoa wanatanda usoni ili usijione unajua.
Fid,neno
hiki ni kijiko unachokiona,baada ya kula kwa mkono/
ndomu usioiona mpaka ukishafanya ngono/
neno la kuponya lililokosa mdomo/
na hili bonge la ngoma kwenu,kwangu ni kama somo
chorus fid,wazo la leo with stamina
unataka kuchukiwa na mjinga?mwambie akikosea/
ukweli sikuzote unapigwa pingu,uongo uzidi enea
fid,juhudi za wasiojiweza
hata mbalamwezi haing'ai bila kuchomoza/
mkono ukiumia mdomo faster huja kuupooza/
mdomo ukiumia mkono huja kuupangusa tuu/
kama hujashuka bado upo juu,kumbuka sio unasusa tu/
vigumu kua fid q,mi sio ndumu unayoweza vuta tu/
fid,nyota ya mchezo
usiniite half man niite man and ahalf, if you think small and you remain small for life, hatuwez piga same instrument bot we can all be in the same key! son experience make some person better or bitter....... KING fid q