Fid Q: Best Quotes from his music, his interviews & from himself

Fid Q: Best Quotes from his music, his interviews & from himself

Acha hzo wew mtoto wa kiume unakuwa mbea! kaibe na wew tuzione zako bado mpya!


sasa umbea hapo uko wapi?
the thing is jamaa anaiba mashairi ya wana malenga na kisha anatupia kwenye mistari yake.

onja tena uipate radha halisi ya Gang Chomba
 
ruksa kunitoa ushamba kwa kile nsichokijua, ntakua mjinga kwa sekunde kisha i am a professional...

fid- i am a professional
 
sasa umbea hapo uko wapi?
the thing is jamaa anaiba mashairi ya wana malenga na kisha anatupia kwenye mistari yake.

onja tena uipate radha halisi ya Gang Chomba

Weka hapo hayo mashairi tuone...!
 
Huwa najiuliza sana na sijui inakuwaje! Unapo muomba Mungu akuondolee wanafiki ndipo Unapo wapoteza washikaji!
 
'Natokea Mwanza, home of the greatest rappers/ Mtoto wa Dandu comes first then....i am a professional/'

'Brooklyn home of the greatest rappers, Big comes first then the queen comes after'-Lil Kim (Lighters Up)

'tunachukiana kwasababu tunaogopana/
tunaogopana kwa sababu hatujajuana/
hatujuani kwasababu tunatengana/'- Propaganda

'There's no need for you to fear me/ if you take your time and hear me/ maybe you can learn to chear me'- Tupac (Ghetto gospel).

Fid is a dope rapper, one of the best, and he's the master of borrowing lines too.
 
'Natokea Mwanza, home of the greatest rappers/ Mtoto wa Dandu comes first then....i am a professional/'

'Brooklyn home of the greatest rappers, Big comes first then the queen comes after'-Lil Kim (Lighters Up)

'tunachukiana kwasababu tunaogopana/
tunaogopana kwa sababu hatujajuana/
hatujuani kwasababu tunatengana/'- Propaganda

'There's no need for you to fear me/ if you take your time and hear me/ maybe you can to chear me'- Tupac (Ghetto gospel).

Fid is a dope rapper, one of the best, and he's the master of borrowing lines too.

Kapata shavu la coke studio msimu huu....
 
Aloyenifanya nipende music ni tupac, ila aliyenivutia niupende muziq wa tz ni fid jamaa ana hatari, mie namsklza toka niko primary hadi leo hii chuo na sijamchoka.. Yapata miaka 13 au 14... Kafanya kazi kubwa sana, kachonga barabara, kabla yake watu walikuwa wanarap ila jamaa alieleweka zaid na kutengeneza mazingira mazur kwa wengine.. Respect ngosha
 
Kuimba ni kipaji! na wizi pia ni kipaji kingine! sijui point yako hapo ni ipi!!


FidQ si mwanamuziki. Mwanamuziki haibi wala kukopi kazi za wengine na kusema zake. Kama vile mimi siwezi kuimba na kukopi beats za nyimbo za Twanga na kusema kuwa ni zangu. Umenipata?
 
''kuongea sio kusema na kufumbua macho sio kuamka''...............ni hayo ft Langa & Prof. J
 
I started young.. I made my
mother's womb a drum
My umblirical chord a
guitar.. muhoji aliyenizaa
BONGOFLAVA mzuri kiasi.. hiphop we ndo my queen
my 1st.. my last &
everything in between
Nami sikuutamani ustaa..
ustaa ulinitamani mimi/
Nilichohitaji.. nikuitumia hii
sanaa.. nishee na nyinyi hii zawadi, niliyopewa na
mpaji ninayemuamini/
MPAJI aliyenivika taji
ilimradi incharge ni wini/
na ninaamini.. kuna muda
huongea kwa kupitia mimi/
Na hunisamehe
ninapokosea.. ni vyema
mkanizoea nyinyi/
Naweza kuona unachotaka
au atakachonionyesha/ Nikitoa ngoma wanaitaka
wanaipata coz wewe ni
special….
 
sasa umbea hapo uko wapi?
the thing is jamaa anaiba mashairi ya wana malenga na kisha anatupia kwenye mistari yake.

onja tena uipate radha halisi ya Gang Chomba

Acha utumwa,tumia kiswahili wewe=the thing is=ndo nini???
 
Aliyekupandisha leo ndio atakaye kushusha kesho

Joh Makini Mwamba wa kaskazini
 
Back
Top Bottom