Fid Q: Best Quotes from his music, his interviews & from himself

Fid Q: Best Quotes from his music, his interviews & from himself

usiniite half man niite man and ahalf, if you think small and you remain small for life, hatuwez piga same instrument bot we can all be in the same key! son experience make some person better or bitter....... KING fid q
 
Last edited by a moderator:
nakubali ni fasihi ila nikiangalia katika hali ya kawaida ngumi ya jicho inauma kuliko ya sikio...kama vipi ingeanza akikupiga ngumi ya sikio wewe ndo upige ya jicho umalize kesi!...konde la jicho likikiupata hata nguvu ya kupiga ya sikio inakata
true!
ingeanza ngumi ya sikio maana jicho ukipigwa sidhani kama utaona hiyo sikio ya kupiga
 
Sijui nani mwai kibaki na nani ni raila odinga ?. Nani anataka kubaki, wakati raia wanampinga.? Wimbo mimi geez mabovu ft jaymoe,fid q,mtengwa jcb.
 
mayowe ya chura hayamzuii tembo kunywa maji
ustaa hauji bila skendo
 
nakubali ni fasihi ila nikiangalia katika hali ya kawaida ngumi ya jicho inauma kuliko ya sikio...kama vipi ingeanza akikupiga ngumi ya sikio wewe ndo upige ya jicho umalize kesi!...konde la jicho likikiupata hata nguvu ya kupiga ya sikio inakata

kweli mwana nimejenga picha ngumi ya jicho daah
 
'ni vema kujifunza mengi, siyo kujua kilakitu'
 
Nitaendelea kuwa Juu/na kutembea kifua mbele kama vile nimepigwa ngumi ya mgongo
 
Uzuri na urembo uko ndani kwa nje mnajiongopea,
Muuza sura usikose amani makunyanzi yakikutokea,

Ielewe mitaa
 
Rafiki usiidharau nazi embe tunda la msimu, ukitaka kufika tatu moja mbili uwe umezipita
 
Top of Raps Elite. Huyu jamaa anajua sana, huwa nasema ni zawadi ya Mungu kwa Tz.

Nasikiliza ngoma zake kila siku na namkubali.

Nakubali mistari yake mingi hata sijui hapa niandike upi

Tz all time best emcees:
1. Prof. J
2. FidQ
3. FA
4.
5.
 
Fid Q ni 'King' wa Hip Hop Bongo...ila mistari yake inampa hadhi ya 'Activist'! Fid Q ni moja ya sababu napenda Bongo Hip Hop kiliko Bongo Fleva.
 
mazingira hatarishi,mabwana afya wana pesa more,
uswazi tunaomba inyeshe,ili tutapishe vyoo
 
mazingira hatarishi,mabwana afya wana pesa more,
uswazi tunaomba inyeshe,ili tutapishe vyoo

propaganda
 
NDIO YA SIO ndio ni ndio kiutani,
lakini SIO YA NDIYO huenda ikawa ndio NDIO kiundani,
yani unaweza ukawa mpagani,lakini unalo kabila,
na hauwezi kua fanani bila hadhira

mwanza mwanza
 
Back
Top Bottom