Fid Q: Best Quotes from his music, his interviews & from himself

Fid Q: Best Quotes from his music, his interviews & from himself

ninaahidi kuufanya Uzi huu uwe bora !! ngoja nitoke kwanza bungeni
 
huyu jamaa nlikuwa namchukulia easy.....but baada us kusoma huh Uzi nimemwelewa sasa.....thumb up kwake
 
huyu jamaa ni hatari kwa kweli ana uwezo mkubwa sana wa kutunga mistari.after yy ni stamina anayefuata
 
Sema kwelii hii line ndo sijaielewa , mwenye kutoa uelewa na kutolea ufafanuzi "Ni vibaya kuhifadhi fufu la kichwa ndan ya kabati..""
 
Ukienda mbio na muda mtapishana,
Mafanikio huja kwa kupenda unachofanya

Ielewe mitaa
 
Usiache kile unachotaka maishani,ghafla tuu na kufuata kile ulichotamani

Ielewe mitaa
 
Maneno yangu mi ni ya moto,na mdomo wangu hauna fridge,
yanatoka bila kuyapooza afu najiuliza nliyameza vipi

August 13
 
Back
Top Bottom