Fid Q: Best Quotes from his music, his interviews & from himself

Fid Q: Best Quotes from his music, his interviews & from himself

Usihofie kupitwa ili mradi muda haukuachi,amini kesho itafika kama ipo ili uipate

Propaganda
 
Usihofie kupitwa ili mradi muda haukuachi,amini kesho itafika kama ipo ili uipate

Fid,Propaganda
 
Ukishtuka kuona kichuguu utazimia ukiona mlima

Fid,hey Lord
 
Hawamaanishi wanayosema au kuongea vyenye maana,
Haya maandishi nnayotema yakipotea ujue una laana

Fid,Neno
 
Kama dunia ni shule,maisha yetu ni darasa,
Msijifunze kuhusu huyu na yule alafu sisi mkatuacha

Neno
 
Siyo bongo tu hata uraya hakuna uhuru habari,kuna uhuru wa mwenye chombo...
 
My best is..

"Sihitaji Marafiki labda badae wakitokea,
Aje mmoja wa kuongea nae na mwingne wa kumuonglea...

Nadhani hapa alikua ana maanisha urafk ni unafki..
 
Sema kwelii hii line ndo sijaielewa , mwenye kutoa uelewa na kutolea ufafanuzi "Ni vibaya kuhifadhi fufu la kichwa ndan ya kabati..""

anasema vibaya kuhifadhi fuvu la mtu kwenye kabati,Vibaya zaidi kuwa na ndugu halafu kichwa maji!

Kwamimi nilivyo elewa ana maanisha kuwa ni bora kukutwa na fuvu la mtu kwenye kabati kuliko kuwa na ndugu kichwa maji! yani ndugu kichwa maji ni balaa kuliko kuwa na fuvu kwenye kabati!
 
My best is..

"Sihitaji Marafiki labda badae wakitokea,
Aje mmoja wa kuongea nae na mwingne wa kumuonglea...

Nadhani hapa alikua ana maanisha urafk ni unafki..

Ni kweli hapa alikuwa ana maanisha hataki urafiki wa kinafiki!
 
Siyo bongo tu hata uraya hakuna uhuru habari,kuna uhuru wa mwenye chombo...

Yaa hiko wazi kabisa Uhuru uliopo ni wa mwenye chombo ndio ana sema nini kiandikwe na nini kisiandikwe!

Ana malizia kwa kusema! "Kamwe IPP haiwezi kumpinga Mengi"
 
Back
Top Bottom