Kama hili ndilo lililosababisha akjitoa uhai ni upumba na ukilaza tunaoongelea hapa jf kila siku kuhusu polisi wetu, kama tatizo ni kupanda kwa posho za wabunge kulimsononesha sana kwa nini asingesubiri bunge likianza arudi pale dom na mabomu kama sita kwa sababu yeye ana access ya kuyapata bila shida halafu aondoke na wabunge wengi zaidi sisi angetuachia na suala la uchaguzi. Pamoja na hayo mungu ailaze mahala pema peponi roho ya marehemu, amina