Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Askari polisi mlinzi wa NMB benki Dar amejipiga risasi mbili tumboni na kufa haijajulikana sababu.
Source tipatie
Askari polisi mlinzi wa NMB benki Dar amejipiga risasi mbili tumboni na kufa haijajulikana sababu.
Askari polisi mlinzi wa NMB benki Dar amejipiga risasi mbili tumboni na kufa haijajulikana sababu.
Mshahara mdogo halafu kazi ngumu.Ila licha ya ugumu wa maisha yao hufanya kazi kwa kujituma sana
Afande,raha ya milele akujalie Ebwana na nuru ya rehema akuangazie.Amen!
unahaki mama ya kujilipua kama kweli ingekuwa hivyo ila kwa sasa kula,kunywa kwa raha zakoChezeiya moyo wa ntu! Kidogo na mie nijilipue na hii gun yangu!
Afadhali wamtume kwenye maandamano manake huwa anawaelekezaga waandamanaji pa kujificha,lol
me ndo maana nakuwa makini sana nikiwakaribia hawa mapolisisisiem,wanashida nyingi sana mioyoni mwao,so anaweza kumaliza matatizo yake na wew bila kosa lolote,hasa unapoingia kwa atm mashine anaona unadroo cash za kutosha while yeye waatoto hawjui watakula nini.RIP a afande