Alisina
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 4,069
- 4,263
Hahahaha!!Hata mimi mwenyewe nampango wa kuingia studio maana nna ma freestyles mshenzi kibao tu ghetto.
sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
Ingia studio utoe kitu.
Hahahaha!!Hata mimi mwenyewe nampango wa kuingia studio maana nna ma freestyles mshenzi kibao tu ghetto.
sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
Duu amekuwa nyoka?..so sad.Kijana mteja...kijana mteja ameshadata!!
Mkuu umenifanya nikamkumbuka Mfalme Wa Ryhmes Afande Sele kwenye pini lake Mtazamo aliwahi kuuliza "Hivi kwani lazima tuwe wote wasanii...!?"Nyimbo za wasanii wakongwe hazijawahi kukinai kama hizi za akina sheta!
Pini kama mkasa wa boss, barua,wife,mtazamo,nikusadieje,vumilia and the list goes.... Ubora na uthamani wake sio kushuka Leo wala kesho kwa mtu anaeujua muziki.
Muziki zamani, siku hizi ni utani,hakuna hata burudani wala madini, akili zao zote zipo sokoni.
sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
Mkuu umenifanya nikamkumbuka Mfalme Wa Ryhmes Afande Sele kwenye pini lake Mtazamo aliwahi kuuliza "Hivi kwani lazima tuwe wote wasanii...!?"
Kizazi cha sasa hivi kinaharibu sana muziki yaani nyimbo zinatolewa kila uchao zenye ladha ya Big G yaani wimbo unatoka leo kesho umeisha ladha hutamani tena kuuskiliza.
Lakini ikitokea likapigwa pina la Sonia kwa mfano, au Piga makofi au labda Hii Leo, Kikao cha dharura, Msinitenge etc, etc yaani una~enjoy hadi kuhisi msanii husika kautendea haki moyo wako.
Wahenga wetu aoShukran kwa kulitolea maelezo Manaake hii taarifa hata kwetu huku ushetu ilisambaa vilivyo yakwamba ulipewa gari na mh.Mkapa
Nawaheshimu sana wasanii wakongwe hapa Tanzania mlikitendea vyema kipindi chenu kwa nyimbo zenu nyingi zilizo na lundo la mafundisho katika Jamii na uhalisia haswa!!
Nyakati zinabadilika,heshima kwenu wakongwe!
Ya ni wakongwe lazima tuwape heshima.Wahenga wetu ao
LOVE ABOVE ALL
Hehehehe"Ile Jeep kwa kifupi baadaye nilikuja kuiza maana ingekuwepo mpaka leo huenda ingekuwa banda la kuku, kwa hiyo niliiuza kama miaka kumi iliyopita huko"
Amefanya mahojiano na EATV hakusema kama alipewa hiyo gari na Taasisi inayojihusisha na mambo ya Ukimwi. Angalia bandiko linavyosemami navyojua hyo gari alipewaga zawadi na taasisi 1 inayojihusisha na mambo ya ukimwi baada ya kutoa ile nyimbo ya starehe,,
nilimsikia, na alisema alinunua mwenyewe ila alipoulizwa bei akasema amesahau, aliongopa tuu., ni mtazamo wngu lknAmefanya mahojiano na EATV hakusema kama alipewa hiyo gari na Taasisi inayojihusisha na mambo ya Ukimwi. Angalia bandiko linavyosema