McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Sema CCM wana siasa za kishamba sana.
Hivi kwanini Marekani au nchi zilizoendelea hatuoni theatrics kama hizi.
Kama ni kweli alikuwa anataka kuwafikia wapiga kura kulikuwa na haja gani ya kujirekodi akiwa amepanda mtumbwi?
Hizi ni dalili ya chama ambacho soon kinaenda kuingia kwenye bed rest
=================
Mbunge wa Viti Maalum CCM, Felista Njau, ameibukia kwa wavuvi na wachuuzi wa samaki katika Bwawa la Nyumba ya Mungu, kijiji cha Mikocheni A, kumnadi mgombea urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan
Mbunge huyo pia ameomba kura kwa mgombea ubunge wa Jimbo la Moshi Vijijini, Moris Makoi, na Leonard Waziri, anayewania udiwani Kata ya Arusha Chini
Hivi kwanini Marekani au nchi zilizoendelea hatuoni theatrics kama hizi.
Kama ni kweli alikuwa anataka kuwafikia wapiga kura kulikuwa na haja gani ya kujirekodi akiwa amepanda mtumbwi?
Hizi ni dalili ya chama ambacho soon kinaenda kuingia kwenye bed rest
=================
Mbunge wa Viti Maalum CCM, Felista Njau, ameibukia kwa wavuvi na wachuuzi wa samaki katika Bwawa la Nyumba ya Mungu, kijiji cha Mikocheni A, kumnadi mgombea urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan
Mbunge huyo pia ameomba kura kwa mgombea ubunge wa Jimbo la Moshi Vijijini, Moris Makoi, na Leonard Waziri, anayewania udiwani Kata ya Arusha Chini