Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 11,123
- 19,350
Hiki Okello anamfanyia jamaa ni nini?
Waambie hao 😎.Feitoto kafiikisha goli 14 baada ya mechi ya la leo Azam 3 vs KMC 0.
Uko vizuri kwenye kufuatilia hii ligi ya kibongoFeitoto ana 14 tayariiiiii.
Kinachojalisha hapa ni spidi ya kufunga magoli. Msimu mzima wewe una magoli 14 wakati mwenzio ndani ya nusu msimu tu ana magoli 11, lazima moyo ukudunde kwa kasi.Feitoto ana 14 tayariiiiii.