Feisal Salum analala usingizi kweli?

Feisal Salum analala usingizi kweli?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
11,123
Reaction score
19,350
Hiki Okello anamfanyia jamaa ni nini?
Screenshot_20260525-202623.png
 
Dogo Allan Okello ni mpambanaji sana kwenye hizi siku za karibuni ukimlinganisha na maproo wengine mfano Pacome.
 
Feitoto ana 14 tayariiiiii.
Kinachojalisha hapa ni spidi ya kufunga magoli. Msimu mzima wewe una magoli 14 wakati mwenzio ndani ya nusu msimu tu ana magoli 11, lazima moyo ukudunde kwa kasi.
 
Back
Top Bottom