Feedback kutoka arabuni...

Feedback kutoka arabuni...

WE NDIO MBURULA.....mtoa mada kazungumzia mshahara sio matumizi.........unaonyesha umbulula wako UK mlo unapata hadi GBP 2 mshamba wewe....chips kuku/burger/chinese mitaani huku hazina bei....chakula bei ya kutupa.....mcdonals,kfc,burger king ukiwa na GBP 4 unakula fresh tu.....

Iko chakula ulichoandika umeikumbuka afya yako?
 
Du! Mkuu Excel unadhani kule wanafanya kazi kwa masaa matano au nane kwa siku? Free market ndo nzuri fursa kwa wote kuzalisha kwa ubora na kupeleka mzigo sokoni, sio free market ya mahouse girl uarabuni. Wadada wa dar ndo nini, unadhani kusista duu ataenda huko au hata aliye na elimu yake?! nawasisi sana na,kiwango cha msomi aneenda kuwa mfanyakazi wa ndani huko??!!? Kila atakae wezeshwa ataweza tuu, karoti, matikiti maji, nyanya, mabiringanya na makabichi ya ajabu yale ya rangi ya zambarau unadhani zinachukua hata miezi mitano kukomaa na kuvunwa?!?! Ndugu kilimo hicho rahisi sana hatuwezeshwi, weka pambeni spinach, chiniz na mchicha, vipi ndugu!

mkuu mimi sidharau kilimo, bali hawa wabongo wenyewe ndio wamejiwekea mindset kwamba kilimo si chochote, kama vile walishalima wakashindwa...

endapo kama serikali itapenda watu walime basi ijitoe kweli kuwaajiri vijana! fursa zipo nyingi tu! irrigation inawezekana..

serikali ya kijani bado imelala ikulu... haitaki kutoka kwenda field..
 
Ukikaa ughaibuni then kwa mwezi kipato chako ni Tzs 200K
Basi bora ubaki bongo tu sababu ukichangamsha akili na kujituma utapata zaidi
 
I beg to reserve my comments on this!!!! Bado nazipenda kucha zangu ati.

Tiba

hahahaaa!! tiba usiogope.. mbona mwenye kaya ni mtulivu bana... kila wakati anacheka! we sema tu mpendwa!
 
Kwa MACHO yangu NILISIKIA BBC kademu toka Uganda kakilalama kuwa kalidhulumiwa kijinsia na kufanywa mtumwa wa ngono kwa miaka 3 bila kutoka nje.

Huu ushuhuda mpya nao wa kuangaliwa sana. Waarabu ni habari nyingine
 
lakini mkuu tatizo liko wapi? wapi palipokosewa hasa?

mashaka yangu hii biashara inaweza ikawa na watu wazito kama wale wa sembe kule ila sina uhakika nadhani hapa ndo tulipokosea na tunapokwama
 
mashaka yangu hii biashara inaweza ikawa na watu wazito kama wale wa sembe kule ila sina uhakika nadhani hapa ndo tulipokosea na tunapokwama

hmm! nimesikia kwamba mbunge wa temeke, sijui ndo hiidd haazzan sijui nani eti anahusika?
 
Kama ilivyo kwa Wahindi, Waarabu ni wabaguzi sana kwa weusi hapa Tanzania.JE huko kwao si ndio balaa zaidi.
 
Kwa taarifa yako hakuna sehemu mbaya duniani ya kufanya kazi za ndani kama uarabuni. waarabu ni wakatili sana, fuatilia taarifa za habari za BBC utajua ukweli. wengi huteswa ikiwa ni pamoja na kunyanyaswa kingono na hata kuuawa au kupata ulemavu.U sishawishi watu wakaenda kuteseka bure huko
 
Ingawa mambo mengi yamechanganywa humu kuanzia uarabini,uingereza na pia bado exel auliza kuhusu utofauti wa maisha baina ya UK na US, hebu niongelee kuhusu falme za kiarabu ambazo ni sita tu Saudia, UAE, Kuwait, Bahrain, Qatar na Oman.
Wafanyakazi wengi wa ndani na madereva wa familia wanatoka India, Sri Lanka ,Philippines, na far east kwa ujumla lakini wengi wa kutoka Philippines ni wataalamu huwa wanachukuliwa kama nurse,
Unapokwenda huko unakuwa na sponser wako ambapo utakaa kwa miaka miwili au zaidi inategemea na permit, na mshahara ni mdogo kwani unakula na kulala kwake kazi zote utafanya kama ni safari utaenda nao,
Hayo ni Arab world ,
Sasa hao wamepitia maisha hayo magumu na kuamuwa kuwaachia nyie na nyie mkaja shtuka baada ya miaka 50 tough!
Kwa $125 kwa mwezi sina uhakika maana nakumbuka miaka ya nyuma sana walikuwa wanapata $100 that's almost 30 yrs ago,
Uongo unakuja kwa madalali kuwahadaa watu,kama ukiambiwa maisha mazuri chakula bure pa kulala bure na mshahara laki 2 nafikiri wengi wenu mtakurupuka na kwenda
Lakini mkae mkijua mlo pekee ni elfu 8
Ok haya ya UK ni mengine huko nako kwa mshahara wa kiwango cha chini huwezi kula burger kila siku kwani ni £4 sasa una familia unaenda kula MacDonald umebaki na nini? Maisha ni ghali sana kwani unalipa kachumba £100 (260,000) kwa wiki bado bills,chakula,petrol,insurance,na mengine mengi sasa niambie hata £10 SAA bado unapumulia mrija yaani ni maskini tu
Nafikiri utafiti wako nimeutosheleza ingawa ni mengi ya kueleza, lakini mada ni Arab world,
 
Last edited by a moderator:
hio tsh 200,000 ni mshahara wa siku moja[8hrs] kwa kazi kama hio UK.

niliwahi sikia kuna ma agent wanasaidia wabongo kufanya kazi huko uk mayb una email zao au contact nyingne au unafaham namna ya kufanya kupata job out of tz can u give me any information nina plan hiyo mwaka huu .
 
Ingawa mambo mengi yamechanganywa humu kuanzia uarabini,uingereza na pia bado exel auliza kuhusu utofauti wa maisha baina ya UK na US, hebu niongelee kuhusu falme za kiarabu ambazo ni sita tu Saudia, UAE, Kuwait, Bahrain, Qatar na Oman.
Wafanyakazi wengi wa ndani na madereva wa familia wanatoka India, Sri Lanka ,Philippines, na far east kwa ujumla lakini wengi wa kutoka Philippines ni wataalamu huwa wanachukuliwa kama nurse,
Unapokwenda huko unakuwa na sponser wako ambapo utakaa kwa miaka miwili au zaidi inategemea na permit, na mshahara ni mdogo kwani unakula na kulala kwake kazi zote utafanya kama ni safari utaenda nao,
Hayo ni Arab world ,
Sasa hao wamepitia maisha hayo magumu na kuamuwa kuwaachia nyie na nyie mkaja shtuka baada ya miaka 50 tough!
Kwa $125 kwa mwezi sina uhakika maana nakumbuka miaka ya nyuma sana walikuwa wanapata $100 that's almost 30 yrs ago,
Uongo unakuja kwa madalali kuwahadaa watu,kama ukiambiwa maisha mazuri chakula bure pa kulala bure na mshahara laki 2 nafikiri wengi wenu mtakurupuka na kwenda
Lakini mkae mkijua mlo pekee ni elfu 8
Ok haya ya UK ni mengine huko nako kwa mshahara wa kiwango cha chini huwezi kula burger kila siku kwani ni £4 sasa una familia unaenda kula MacDonald umebaki na nini? Maisha ni ghali sana kwani unalipa kachumba £100 (260,000) kwa wiki bado bills,chakula,petrol,insurance,na mengine mengi sasa niambie hata £10 SAA bado unapumulia mrija yaani ni maskini tu
Nafikiri utafiti wako nimeutosheleza ingawa ni mengi ya kueleza, lakini mada ni Arab world,


1.hii mada imezungumzia mdada alieenda kufanya kazi za ndani kwa 200,000 kwa mwezi mimi ndio nikasema hio ni hela ya SIKU MOJA UK kwa kazi hio hio. Sasa wewe ukileta habari ya familia kwa mshahara huo ni yako.HUYO DADA ANAENDA KUWA DOMESTIC WORKER ARABUNI NA FAMILIA?fananisha pound for pound if u know what i mean

2.umekaa wapi UK chumba GBP 100/W?NI UK NZIMA?maisha ni kuchagua,mimi nilikuwa naishi 2-bedroom house for GBP 550/MONTH tuko wawili.

3.Hamna aliesema GBP 10 utakuwa tajiri lakini ni better than 200,000/- kwa mwezi far far better ukitilia maanani uarabuni wanakuwa treated kama watumwa....ipo wazi wafilipino wanateswa sana huko,wakenya,waganda wote wanateswa huko....LAKI MBILI KWA MWEZI BAKI BONGO TU HATA KWA WAZUNGU MASAKI HOUSE GIRL ANAPATA ZAIDI YA HIO.

 
ya UK magumu

mkuu, UK raia wake maximumly wanatumia pesa ngapi kwa siku?

kwa sababu nimesikia by average, wamarekani wanaishi kwa dola 30 kwa siku, kama sijakosea...

please help that..
 
Kwa MACHO yangu NILISIKIA BBC kademu toka Uganda kakilalama kuwa kalidhulumiwa kijinsia na kufanywa mtumwa wa ngono kwa miaka 3 bila kutoka nje.

Huu ushuhuda mpya nao wa kuangaliwa sana. Waarabu ni habari nyingine

Umeona ehe, asante kwa mchango wako huu, watu hawaamini lakini waarabu si wa kawaida, do not trust them, do not encourage your young sisters to join this terrible business.

Hata hivyo wewe mkali unasikia kwa macho?

Tiba
 
Back
Top Bottom