ahsante Averoes kwa ufafanuzi mzuri. vipi gharama za maisha lakini. kwa mfanyakazi anaepokea tsh 200000 huko uarabuni anaweza kumudu maisha kama anajitegemea mwenyewe?
Hapana ni ngumu sana wala usijaribu, kama una hela za kuweza kusafiri kwenda kutafuta kazi ya mshahara huo Arabuni bora ukakodi shamba mikoani uzalishe mboga mboga au mpunga utaishi vizuri tu.
Arabuni sio kwahala kwa kukaa hao walioko huko ambao wanajitegeme wenyewe wanakula ngumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.