Ukimpa Kikwete ili akuruhusu ujenge hoteli yako Serengeti au kuchimba madini Tanzania na hata ikibidi kuzalisha umeme Tanzania ili ulete GIZA, inaitwa LOBBYING.
Ama kweli HONGO ina majina mengi: Rushwa, Hongo, Takrima, Lobbying.......
Ukilipwa baada ya kutumika kwa miaka kadhaa wanaita KIINUA MGONGO. Kuna ile inaitwa Kifutia machozi, inatokana na nini? Halafu kuna mafao ya uzeeni.... Lohhh!!!!