Fedha za Radar Kurudishwa: Mgogoro kati ya BAE, TZ na UK

Membe is disgusting! I am sor to say so.Alikuwa amelala wapi? Hata wakati kesi inaamuliwa mahakaman uingereza hakutuma hata mwakilishi sasa anataka kumdanganya nani? Bo..s leaders.
 
SORRY READERS, I MISTAKENLY REPLIED THROUGH THE WRONG THREAD. THIS IS THE CORRECT PLACE
I completely concur with the BAe and the British government for their stance against payment of the money to the Tanzania Government based on the following reasons:

1. The SFO had earlier in the investigations pointed a finger at some GoT officials and individuals responsible for the loot. Until today, nothing has been done to the people involved and furthermore, they are credited by glorification from the highest office of the land in the last election to request votes from the people on their behalf.

2. Intelligence information indicate that the GoT is not serious in fighting grand corruptions save for facewash (ref. WikiLeaks cables) for cheap political gain.

3. Developments in other cases of grand corruption allegetions in Tanzania is not encouraging and there is every indications that the culprits are being protected from the highest office.

4......... You fill the rest!!!!!

In such a situation, Membe and Co. cannot assure the British government and BAe that the money would not find its way to the pockets of the same OR other emerging "FISADIs" in similar circumstances.​
 
Binafsi naona hako ni kasafari tu kupata posho
Hapo utakuta ni US $250 per head in posho! Hizo pesa bora zibaki hukohuko hata zitupwe kuliko kuwapa Serikali ya Kifisadi ili iende kwenye akaunti zao! Upuuzi mtupu mlikua wapi wakati wa kesi mbona hamkua na interest!!! Anyway muinjoi posho hiyo ndo iliyowapeleka huko, shopping kwa kwenda mbele rudini na masanduku matano kila mmoja:A S 114::A S cry:
 
fact finding mission teh teh teh . Tanzania bana . fact finding ya kitu gani wakati watanzania hawajampata afisa wao yeyote na hatia ?

fact finding ilitakiwa ianzie nyumbani .Izae matunda ndo wakimbilie nje . Sasa wameshamsafisha chenge alafu wanasema fact finding. Kama mmeshindw akumtia hatii Chenge na wengineo wataaminije hizo pesa kama mtazitumi vizuri. Yaaani SFO walitafuna kila kutu Tanania tulitakiwa kumalizia mkia but bado tukashindwa.


This is bull shit
 
BAE systems waliuza Rada kwa serikali ya Tanzania. Kama kuna hongo ndani yake basi serikali ya Tanzania ilitoa hongo. sasa kwa nini serikali hiyo hiyo iliyotoa hongo/rushwa inataka izichukuwe hizo hela? Kama walishindwa kuzitumia vizuri hapo mwanzo watawezaje kufanya hivyo sasa? BAE system wana haki ya kupeleka kwa watoto yatima msimbazi au kusaidia wakina mama wakaanga maandazi arusha au wabeba mikokoteni mwanza or anywhere else. kwa sababu thier government (TZ government) can not be trusted when it comes to money.
 
Haya ni marudio ya hoja ambayo imejadiliwa sana. Ukweli unabaki pale pale kwamba kama wewe umeibiwa lakini kwa sababu yoyote ile ukashindwa kumfuatilia mwizi wako, au ukashindwa kujua kwamba umeibiwa, akitokea whistle blower akakuambia na hata akafanikisha kurudishiwa mali yako, msamaria mwema huyo hajinyakulii haki ya umiliki wa mali hiyo.

Anaweza tu akaomba kushukuriwa lakini siyo kukupangia matumizi ya recoveries zako. Uingereza walifuatilia issue hii kwa sababu kampuni ya BAE ambayo ilihusika na wizi huu na yenyewe ilikuwa ina-face credibility problems kama serikali isingeingilia kati. Haikuwa favour kwa Tanzania japo Tanzania ilikuwa ni beneficiary ya ufuatiliaji huo.


Hakuna justification yoyote ya fedha hizi kutorejeshwa kwa aliyeibiwa na msimamo wa Membe na serikali ndiyo utashi sahihi na wanaoshangaa wanaendekeza ukoloni ambao hauna nafasi katika hili. Membe endelea kudai mpaka kieleweke!
Wewe unachekesha kweli, wizi kabla haujafanyika tuliambiwa kuna wizi tukakataa tukaendelea na manunuzi, kisha tukaambiwa jinsi wizi ulivyo fanyika na kuhusisha viongozi tukasema sio kweliKwakuwa wenzetu hawana longolongo wakalifanyia kazi upande wao lakini sisi bado tukasema hakika hakuna wizi, sasa wamemaliza kazi na hukumu inataka aliyeibiwa alipwe fidia hapo ndipo sasa masikio yanapo tusimama, ajabu na aibu tena tunasema ni haki yetu na ujumbe unatumwa kufuatilia hiyo 'haki' yetu!.

Hivi Mbopo hukumu ya uingereza juu ya hii issue ingekuwa kuwakamata wahusika wote na kuwafunga unafikiri serikali hii ya mafisadi ingekabidhi muhusika hata mmoja licha ya kuwakamata tu hapa nyumbani? Hii ni aibu, aibu, aibu...
 
haya ni marudio ya hoja ambayo imejadiliwa sana. Ukweli unabaki pale pale kwamba kama wewe umeibiwa lakini kwa sababu yoyote ile ukashindwa kumfuatilia mwizi wako, au ukashindwa kujua kwamba umeibiwa, akitokea whistle blower akakuambia na hata akafanikisha kurudishiwa mali yako, msamaria mwema huyo hajinyakulii haki ya umiliki wa mali hiyo.

Anaweza tu akaomba kushukuriwa lakini siyo kukupangia matumizi ya recoveries zako. Uingereza walifuatilia issue hii kwa sababu kampuni ya bae ambayo ilihusika na wizi huu na yenyewe ilikuwa ina-face credibility problems kama serikali isingeingilia kati. Haikuwa favour kwa tanzania japo tanzania ilikuwa ni beneficiary ya ufuatiliaji huo.


hakuna justification yoyote ya fedha hizi kutorejeshwa kwa aliyeibiwa na msimamo wa membe na serikali ndiyo utashi sahihi na wanaoshangaa wanaendekeza ukoloni ambao hauna nafasi katika hili. Membe endelea kudai mpaka kieleweke!

why are you defending the criminals ??
They (tz govt officials) robbed us(tanzania tax payers) and now you asking the british govt(good guys) to give the money back to the robbers ?? Shame on you. FISADI MKUBWA WEE.
 
Cheyo naye kawa km boya, kaungana na hiyo mijitu ya magamba, delegation kuuuubwa kufuatilia kitu ambacho hawakukitolea jasho. kila kitu waingereza wamefanikisha wakati sie tunaendelea kuwakumbatia wale wote waliofanikisha huo wizi na kuwapelemba kwa nyadhifa wenzetu wakabaini mapungufu wakaamua waturudishie pesa yetu baada ya kusikia tu kuna pesa inabidi irudishwe CCM zealots wamedandia tayari fuso mtelemkoni eti wanafuata pesa khaaaaaa kweli mwizi ni mwizi tuu.

Kuna siku huyo Membe eti mpaka anagonga meza eti sitakubali hizo pesa zigawiwe kwa NGO hataruhusu waingie bongo wewe membe wewe mnagombania pesa zetu namna hiyo kisa ni nini,hii kashfa ilipoandikwa mara ya kwanza si mlikanusha nyie!!! kweli CCM na serikali yake ni sikio la kufa hata kikombe cha babu ccm bado haitasikia.
 
Kuna wabunge wa Chadema kwenye hilli trip la ulaji ? Cheyo yeye naona yuko tu hana wasi wasi .
 
Wengine wakati akichangia hoja ya Bajeti ya Serikali kupunguza matumizi mabaya ya Serikali , kundi kubwa la wabunge wamechukua FIRST CLASS to London na wakirudi wanalipwa posho ya nguvu.Huu ni ufujaji wa pesa za Serikali.
 
Serikali imetuma Naibu Spika wa Bunge na wabunge wengine watatu kufuatilia malipo ya pesa hizo. Matumizi ya wabunge hao ukichukulia gharama ya usafiri wa ndege daraja la kwanza, gharama za hoteli daraja la kwanza na fesha za kujikimu ni karibu roho ya pesa hizo zimeshaliwa kabla ya kukabidhiwa. Alichoongea kiongozi wa kambi ya upinzani juu ya matumizi mabaya ya pesa ndio hayo. Tunashukuru kufunguliwa pazia kukona kinachoendelea ndani ya serikali juu ya mtumizi ovyo ya pesa zetu.
 
Maofisa wa ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza unafanya kazi gani mpaka serikali itume jopo la wabunge kufuatilia pesa hizo? Ni njia ya kupanua uwanja wa posho au?
 
kodi zetu hizo, halafu kama hicho walichofuata hawatajipata na hawatakipata, viongozi wanaotuongoza kaziii kweli kweli
 
Mjue na membe wiki hii alikua LONDON............ndie aliyeongea na waandish wa habar last month had anagonga meza kuhusiana na pesa za BAe kua zolikwapuliwa......lakin hakuwataja waliokwapua......sasa fikiria ujumbe ulioenda,jumlisha nauli,malazi,chakula na POSHO
Hii yote ya nini? Diplomat ya tanzania iliyoko Uk haiwezi fanya kazi hiyo hadi mzee mapesa na ndugai waende?
 
ukipata nafasi ya kutumia au kula kula ipasavyo ili ujekuwa na vyakuhadithia mbeleni
 
Back
Top Bottom