MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,009
- 2,173
Huyo naibu Spika mwenyewe wameona ana uwezo kuliko Balozi wetu kweli?
Spika yuko vile, je, Naibu!
Membe yeye ana bahati mbaya kwamba hata usoni hana sura ya ufahamu kabisa! Maongezi yake yamekuwa kama anamuiga Che Guevara badala ya kuonyesha uwezo wake wa kutumia Diplomasia!
Spika yuko vile, je, Naibu!
Membe yeye ana bahati mbaya kwamba hata usoni hana sura ya ufahamu kabisa! Maongezi yake yamekuwa kama anamuiga Che Guevara badala ya kuonyesha uwezo wake wa kutumia Diplomasia!