Fedha za maafa kagera zakarabati shule ya ccm

Fedha za maafa kagera zakarabati shule ya ccm

Hehehe inawezekana labda maana kila ukikosoa utaambiwa ni UKAWA, hizi itikadi za vyama zimewapofusha wengi kweli
 
Hivi huwa hamuoni mnatenda dhambi za uongo? Ccm inamiliki shule wapi? Mwogopeni mungu wenu ndugu zangu mn siasa za kinafki zitatupeleka pabaya.
Acha kulialia, we mtanzania wa wapi ambaye hujui hata hili?
 
Mwongezee na hizi Tabata wazazi DSM, tegeta DSM, omumwani BK h(nahisi hii ndiyo inayoongelewa)
Ni kweli mkuu, huyu jamaa anafikiri Abdalah Bulembo anapata wapi pesa za kuchezea kama sio kutoka kwenye hizi shule za Wazazi (wa ccm).
 
1.jpg
 
Bavicha mtazeeka kwa wivu na roho mbaya
Wala sikushangai sbb kiwango chenu cha kuongoza na kuiletea hii nchi maendeleo imefikia hapo mlipo.
Hamna kipya tena zaid ya hapo. Hata mfanyaje hamuwezi kuvuka kiwango cha hapo mlipo
KM MNATEGEMEA MISAADA YA WAATHIRIKA WA MAJANGA, KUJENGA MIUNDO MBINU HAMTOWEZI KUFIKA MBALI.
Kwa mfano, watu wasingetoa misaada mgefanyaje?
 
Inakuaje mtu na akili zako unaliamini gazeti la Mwananchi? Kama ni habari ya kweli, hiyo shule wanasoma kina nani? Chadema hamuwezi pata kura za wananchi kwa mtindo huu maana mnaponda hii ila wananchi huko wanapeleka watoto wao kwenye hiyo hiuo shule, point mmapata wapi hapo??
Tatizo siyo shule wanasom wakina nani.kwani wanasoma bure?
CCM inachukuwa rambi rambi za watu kwa nguvu.
 
Tumeshachoka na hizi habari za kagera na tetesi za uongo muda wte, ukifatilia utakuta cyo kweli...hiyo hela si ni kwa ajili ya maafs kama shule iliharibiwa na ipo ile sehemu hata ikiwa ni mtu binafsi kwa nini usikarabatiwe? Sitetei uozo ila Hii sasa imekuwa too much.
Kama shule ya binafsi unaona ni sawa kukarabati wa kwa fedha za umma, maana shule ya ccm ni mali ya chama cha ccm, hivyo basi kwa nini usione ni sawa pia kukarabati nyumba za watu masikini zilizoharibiwa na tetemeko?

Huo ni ukatili uliopitiliza, yaani unaenda kukarabati shule ya chama, shule ya maccm halafu leo wazee na watoto hawana makazi, wanalala nje, kipindi cha mvua ndio hiki, mateso yote yao, halafu mtu unaona ni kawaida kabisa kutumia fedha za umma kukarabati shule ya maccm. ...

Mungu aepushe mbali na laana ya milele watu hawa
 
Inakuaje mtu na akili zako unaliamini gazeti la Mwananchi? Kama ni habari ya kweli, hiyo shule wanasoma kina nani? Chadema hamuwezi pata kura za wananchi kwa mtindo huu maana mnaponda hii ila wananchi huko wanapeleka watoto wao kwenye hiyo hiuo shule, point mmapata wapi hapo??
Wewe unaaminije uhuru wakati hulisomi badala yake ubasoma mwansnchi usiloliamini
 
  • Thanks
Reactions: 999
Hivi huwa hamuoni mnatenda dhambi za uongo? Ccm inamiliki shule wapi? Mwogopeni mungu wenu ndugu zangu mn siasa za kinafki zitatupeleka pabaya.
Hukusikia shule ya ccm iliyouzwa kinyemela? Shule ya sekondari sangu ni shule ya umoja wa wazazi ya ccm. Ziko na nyingine nyingi tu.
 
Back
Top Bottom