Nasikia PSG wamekataa €100m?View attachment 522801
Verrati sema....!!
hao kama vp tuachane nae huyo Verrati tuhamishie majeshi kwa CoutinhoNasikia PSG wamekataa €100m?
Huyi Verrati answeza tupotezea muda.
poa mkuu kama vipi tuachane naehao kama vp tuachane nae huyo Verrati tuhamishie majeshi kwa Coutinho
Verrati hana shida. Shida ni PSG. Wanafikiri kila mtu ana hela za mafuta kutapanya. Wapuuzi sana.View attachment 524234
Huyu ndio Verrati alikua na mazungumzo ya chakula cha jioni na mfalme huko......IBIZA jana
mkuu unauhakika chanzo chako? maana mitandaoni naona anataka kwenda RM.
Nasikia PSG wamekataa €100m?
Huyi Verrati answeza tupotezea muda.
Verrati hana shida. Shida ni PSG. Wanafikiri kila mtu ana hela za mafuta kutapanya. Wapuuzi sana.
Verrati hana shida. Shida ni PSG. Wanafikiri kila mtu ana hela za mafuta kutapanya. Wapuuzi sana.
Hayo mambo ya Treble sahauBarca is the best team ikiwa tu kama mwaka mbaya kwetu hatujapata mafanikio tunasumbua laliga hadi dk ya mwisho,tunachukua Cdl ,na UEFA tunaishia robo etc
We always deserve better than this hopeful mwakani treble inahusika for the best team in the world
Dunia nzima inatambua verrati anaipenda Barca ni Barca damuKuna taarifa kwamba Marco Verratti ametangaza kugomea kuwa na PSG katika Pre-season iwapo wataendelea kugomea transfer yake kwenda Barca. Inasemekana Verratti ana-force a move to Barca
Verrati Mkataba wa PSG unambana Japo naye amejaribu kuforce Kuja Barca Lakini Naskia sheria ya Mkataba ya PSG ni Ngumu KidogoVerrati sijui kashindikana? naona saahizi tunakomaa na Dembele na MF wa santos Brazil, Lucas Lima ambaye atakuja January