mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,700
FIGISU ZA FIFA
Yanayosemwa yote kuhusu Messi ni uongo ambao umepikwa kama revenge ya FIFA kwa Messi pale alipokataa kuhudhuria shindano lao lililopikwa mwanzo mwa mwaka huu
Assistant referee ambaye wanasema ame be verbally abused hajui na wala hakusikia sauti yakutukanwa na Messi na hata yeye mwenyewe personally anashangwaza na uamuzi wakum ban king match 4
Hawa ndio Fifa chombo kinachoongoza rushwa na uonevu wa football duniani kwa maamuzi ya ajabu ajabu sana
Yanayosemwa yote kuhusu Messi ni uongo ambao umepikwa kama revenge ya FIFA kwa Messi pale alipokataa kuhudhuria shindano lao lililopikwa mwanzo mwa mwaka huu
Assistant referee ambaye wanasema ame be verbally abused hajui na wala hakusikia sauti yakutukanwa na Messi na hata yeye mwenyewe personally anashangwaza na uamuzi wakum ban king match 4
Hawa ndio Fifa chombo kinachoongoza rushwa na uonevu wa football duniani kwa maamuzi ya ajabu ajabu sana