jackline1
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,142
- 2,688
Hivi kweli China kuna football fever na viwanjani wanakwenda kuangalia mpira? mark my words the bubble will bustWachina wanapata pesa kupitia pay per view
wana wananchi bilioni 1.3
wenye uwezo wa kulipia tv japo milioni 600
imaggine watu milioni 600 ukiwa charge hata dola 50 kwa mwezi utashindwa nni?
ni mfano tu