pique kazingua angempa paulinho kocha anachofanya anataka tym iballance kumchezesha Robert na Vidal na leo imecheza vizuri maaana katym kanapaki bas ila anatakiwa ampe muda mwingi paulinho na semedo yuko vizuri
Update ya Coutinho:Goal .Com wameshanusa wazee wa nyeti kuna leakage ya info zote ni positive kwa Barcelona vyanzo mbalimbali wame report Liverpool tayari wameshaelewana na Barca kumuuza Coutinho na vyanzo vingine vikiripot hela ambayo anauziwa vina range kuanzia £120-150M