100tyms Sergio roberty angeanza kiungo kuliko Gomez....huwez kumpanga Gomez na Mathew tena bek ya kat, pamoja then utegemee team iwe na efficiency...Gomez Hana msaada wowote wakat Mathew ana errors nying sana...
Me imeniuma sana kadi nyekundu hakukuwa na sababu ,halafu Andres Gomez huyu hata Ndanda FC hawezi kutakiwa he doesnt deserve to play Barcelona Louis Enrique sijui aambiwe mara ngapi?anaua morale ya wachezaji
Czan hata majukum yake uwanjan kama huwa anayajua huyu Gomez...mchezaj asie nyumbulika wala kufanya movement Katka kiungo cha kat n hatar sana...mzto, foot work mbovu, pas zenyewe zero..ngoja nilale
Czan hata majukum yake uwanjan kama huwa anayajua huyu Gomez...mchezaj asie nyumbulika wala kufanya movement Katka kiungo cha kat n hatar sana...mzto, foot work mbovu, pas zenyewe zero..ngoja nilale