Iniesta kabla ya kuumia alikuwa fresh tatizo Enrique mfumo wake wa kuiweka timu chini na kutegemea MSN
343 ya juzi kumbuka sporting alikuwa anapaki basi na viungo kama Rakitic,Gomes footwork yao sio nzuri ,mistake ambayo bodi ya Barca ilifanya ni kumuuza Thiago
Ndio alipaswa achukue mikoba ya xavi
Kingine Barca ya pep na Tito ikipoteza mpira ndani ya sekunde kadhaa wanarudisha kwenye himaya yao sababu wana press kwa nguvu ,kitu ambacho kwasasa hakuna
Ndio maana sampaoli anatajwa sababu ya aina yake ya uchezaji
Game ijayo ajitoe mhanga 343 na messi,iniesta waperform kwa hali ya juu
Busi,iniesta,raki ,denis/Alba