Leo Barca haijatulia kabisa mabadiliko yanahitajika haraka sana la sivyo tutachezea mbayaa.....mhhh!!mi nashindwa kuvumilia kwaherni mtanihadithia kesho
Ukuta wetu unaruhusu sana penetrating pass why? kuanzia kulia na sasa hivi ugonjwa umehamia upande wa kulia
Katikati tumepwaya sana hadi Messi inambidi akachukulie mipira nyuma kabisa...!!