huyu jamaa hajawahi kuwa strategist wala tactician mzuri. watu hawampigii kelele sababu timu inambeba na kuleta matokeo. pale usajili aliofanya ni Umtiti na Dennis tu ndiyo wanasomeka. pumbavu zake!
umeona wapi mpira wa ligi timu inajiongelea yenyewe? yanayotokea kwa timu moja huathiri nyingine. bila kuongea zile offside za leo zote zingekuwa magoli.
Keep whining cry baby. Hizo meme hazisaidii kitu, Bora utoe ushauri kwa kocha wako apange kikosi kamili la liga ishafikia hatua ngumu hii. Mbona hatujawahi kusikia Real Madrid wakiwalalamikia Barkalona?
umeona wapi mpira wa ligi timu inajiongelea yenyewe? yanayotokea kwa timu moja huathiri nyingine. bila kuongea zile offside za leo zote zingekuwa magoli.
Keep whining cry baby. Hizo meme hazisaidii kitu, Bora utoe ushauri kwa kocha wako apange kikosi kamili la liga ishafikia hatua ngumu hii. Mbona hatujawahi kusikia Real Madrid wakiwalalamikia Barkalona?