Luis Enrique amtoe Messi hataki kazi? Messi is more important Than Barcelona itself (pamoja na wachezaji wote, management, mashabiki na uwanja wa Camp Nou). Haguswi yule.
Hata ingekuwa mimi ningeibeba'mfano barca akienda final na buyern mapesa yatakuwa mengi kuliko barca kwenda final na timu kama psg sasa kwa nini nisiibebe barca