FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hayo maswali ya primary mpe rafikio Aleyn ayajibu,

TIMIZA AHADI, JITUMBUE AU TUKUTUMBUEE
 
Wewe ndiye uliyegoma kunijibu swali langu
mkuu si ulisema nikuletee ushahidi wa wewe kusema kuwa "madrid wakiifunga barcelona unaacha kushabikia mpira" NIMEKULETEA!

mbona juhudi za kukwepa KUJIUZULU zinakuwa kubwa tena??

NAONA UNATAKA KUWA "NKURUNZINZA" SASA???
 
Reactions: PNC
mkuu si ulisema nikuletee ushahidi wa wewe kusema kuwa "madrid wakiifunga barcelona unaacha kushabikia mpira" NIMEKULETEA!

mbona juhudi za kukwepa KUJIUZULU zinakuwa kubwa tena??

NAONA UNATAKA KUWA "NKURUNZINZA" SASA???
Mkuu kwa kukusaidia kama ni mtaalamu wa mathematics utaelewa faster.
0:4 1:2
=
5:2
 
hawawezi tokaaaa lazma wafe kama unataka weka mzigo bet hata mke Lazma Atletico wakae tena kwa kipigo cha mbwamwizi
 
Mkuu kwa kukusaidia kama ni mtaalamu wa mathematics utaelewa faster.
0:4 1:2
=
5:2
Hii ndio shida ya "mashabiki wa mkopo" sasa aggregate kwenye ligi tena ya kazi gani???

mimi nimekusamehe mkuu DONT LEAVE, ILA BE CAREFUL, BARCA kama zilivyo timu zingine USIIWEKEE DHAMANA NGUMU UTAKUJA KUJUTA NA KUUMBUKA!

UKIAMBIWA MPIRA UNADUNDA NDIO KAMA HIVI, MNA KIKOSI BORA MNAFUNGWA HATA NA KIKOSI DHAIFU KABSA!(sizungumzi madrid)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…