hiyo video iyangalieni kwa umakini halafu mnambie katika sayari hii ni nani alishawahi kufanya vitu kama hivyo ukiachia diego maradon and then lionel messi
hiyo video iyangalieni kwa umakini halafu mnambie katika sayari hii ni nani alishawahi kufanya vitu kama hivyo ukiachia diego maradon and then lionel messi
yaani katika robo final ya copa del rey tunakuja kukipiga tena na athletic bilbao hawa jamaa tuna mechi tatu na wao nikizikumbuka zile goli nne walizotupiga katika kuwania ngao ya ufunguzi wa ligi basi hua sipati picha