Huu uzi ushakuwa wa chit chat sasa.....wapi PNC.....lol? Embu leta news basi au ndo huwezi,au reporter wenu wa mkopo nireport?.......Nani kawa nahodha wa timu?
Huu uzi ushakuwa wa chit chat sasa.....wapi PNC.....lol? Embu leta news basi au ndo huwezi,au reporter wenu wa mkopo nireport?.......Nani kawa nahodha wa timu?
Huu uzi ushakuwa wa chit chat sasa.....wapi PNC.....lol? Embu leta news basi au ndo huwezi,au reporter wenu wa mkopo nireport?.......Nani kawa nahodha wa timu?
Hahahah!! Si unajua wanamuoneaga sana kirikuu wetu jana aliamua kuvunja uteja,Sawa bana tutakutana tu....nasikia umemuhifadhi DS kwaajili yetu hiyo Sept?..
Hahahah!! Si unajua wanamuoneaga sana kirikuu wetu jana aliamua kuvunja uteja,Sawa bana tutakutana tu....nasikia umemuhifadhi DS kwaajili yetu hiyo Sept?..
Neymar amepata majeruhi na atakuwa nje ya uwanja mpka wiki ijayo.
Ataukosa mchezo wa kesho wa Uefa Super Cup dhidi ya Sevilla na mchezo wa ufunguzi wa La Liga dhidi ya Athletic Bilbao jumapili ijayo ya tar23
Pia ikumbukwe mara ya mwisho hawa jamaa super cup uefa walitupiga 3:0 hvo leo tutashinda na kulipa kisasi kwa magoli mengi japo neymar hatokuwepo ila KING ANATOSHA