FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hizi mechi nyengine(sevilla) ni kubwa sana kwa lamine yamal.

Physicality
Jana header yake imetusaidia kuondoka na point tatu kibindoni.

Dogo umri bado ndiyo kwanza ana miaka 16 ila mguuni ana kitu kikubwa kuliko hata Raphina.

Mimi naona Xavi aendelee kumuamini dogo iwe kwa mechi kubwa au ndogo ili apate uzoefu atusaidie sana siku za usoni.
 
Blaugranas!
Dah tumepoa sana humu asee! Naona chama linazidi songa licha ya injuries za key players still we move! Group stage tumeshatoboa.

#Next stop El classico

Visca El barca
 
Next tym tell gavi acheze mpira sio mechi nzima anafanya marking ya mtu mmoja vin jr kumbe anapoteza concentrationya game. Poor barca inatumia mbinu za Morinho na nemanja matic. Gavi alipaswa kucheza kama Valverde box to box
 
Next tym tell gavi acheze mpira sio mechi nzima anafanya marking ya mtu mmoja vin jr kumbe anapoteza concentrationya game. Poor barca inatumia mbinu za Morinho na nemanja matic. Gavi alipaswa kucheza kama Valverde box to box
Ndio game yake hivi ulimuona Gavi alivyokamata dimba yeye na Gundo?. Yan kam game ingekua sare au Barca win huyo ndo angejua MOTM.
 
Hii timu ishakuwa ya mburukenge kama Chelsea tu ,nishaacha kuingia humu miaka 3 sasa , timu zangu pendwa zote vibonde ,Chelsea kilaza na hii Barcelona kilaza ,Aisee
 
Hii timu ishakuwa ya mburukenge kama Chelsea tu ,nishaacha kuingia humu miaka 3 sasa , timu zangu pendwa zote vibonde ,Chelsea kilaza na hii Barcelona kilaza ,Aisee
Duh yan team kufungwa na Madrid ishakuwa mburukenge? Unaifuatilia Barca mkuu If not ,endelea na Chelsea tu mzee!
 
Blaugranas!
Dah tumepoa sana humu asee! Naona chama linazidi songa licha ya injuries za key players still we move! Group stage tumeshatoboa.

#Next stop El classico

Visca El barca
Hakuna Blaugranas humu, asilimia kubwa ni shabiki wa Mess, wamehamia ligi ya US huko
 


Lamine Yamal jana kaweka historia nyingine katika klabu ya Barcelona. Anakuwa mchezaji mdogo zaidi kuwahi kupoteza game ya UCL.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…