unataka team ishinde kilasikuBarcenyeto mnazingua
Si ni mambo mnafanya kitambo sana??Wazee vipi kashfa ya kuhonga marefa...
Jana header yake imetusaidia kuondoka na point tatu kibindoni.Hizi mechi nyengine(sevilla) ni kubwa sana kwa lamine yamal.
Physicality
Una ushahidi?Si ni mambo mnafanya kitambo sana??
Ndio game yake hivi ulimuona Gavi alivyokamata dimba yeye na Gundo?. Yan kam game ingekua sare au Barca win huyo ndo angejua MOTM.Next tym tell gavi acheze mpira sio mechi nzima anafanya marking ya mtu mmoja vin jr kumbe anapoteza concentrationya game. Poor barca inatumia mbinu za Morinho na nemanja matic. Gavi alipaswa kucheza kama Valverde box to box
Alipo ingia maestro luca modric habari ikabadilika kabisa.Ndio game yake hivi ulimuona Gavi alivyokamata dimba yeye na Gundo?. Yan kam game ingekua sare au Barca win huyo ndo angejua MOTM.
Duh yan team kufungwa na Madrid ishakuwa mburukenge? Unaifuatilia Barca mkuu If not ,endelea na Chelsea tu mzee!Hii timu ishakuwa ya mburukenge kama Chelsea tu ,nishaacha kuingia humu miaka 3 sasa , timu zangu pendwa zote vibonde ,Chelsea kilaza na hii Barcelona kilaza ,Aisee
Cama na yeye ndio waliwaleta uhai Madrid!Alipo ingia maestro luca modric habari ikabadilika kabisa.
Well saidCama na yeye ndio waliwaleta uhai Madrid!
Hakuna Blaugranas humu, asilimia kubwa ni shabiki wa Mess, wamehamia ligi ya US hukoBlaugranas!Dah tumepoa sana humu asee! Naona chama linazidi songa licha ya injuries za key players still we move! Group stage tumeshatoboa.
#Next stop El classico
Visca El barca
Mimi nilianza kuipenda Barca kabla ya huyo Messi mwenyewe mkuu.Yes Baadhi ya watu walikua Barca kwa sababu ya Messi ni kweli kabisa.Hakuna Blaugranas humu, asilimia kubwa ni shabiki wa Mess, wamehamia ligi ya US huko