habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
ha ha ha ha ha aaaaa mkuu nimecheka sanaWewe ndiye unapaswa kuwekwa ndani kwa kuendelea kusambaza habari za vinyago..
ha ha ha ha ha aaaaa mkuu nimecheka sanaWewe ndiye unapaswa kuwekwa ndani kwa kuendelea kusambaza habari za vinyago..
Umesema kweli, toka lini uamsho wakamchagua mtu toka CCM?Toka lini yeye na timu yake walimchagua Magufuli?! Aache mbwembwe!
Akizunguzma na waandishi wa wahabari mahakamani Kisutu, Fatuma Karume kasema kuna msemo wa kiswahili unaosema kuwa " kinyago ulichochonga mwenyewe hakitakiwi kukusumbua"
AKAENDELEA kusema kuwa Rais MAGUFULI sisi ndio tuliomchagua na kumuweka.
Kwa hiyo anamfananisha Rais na kinyago cha kuchonga kuwa wananchi ndio waliochonga hicho kinyago?
Huyu MZANZIBARI kwenye hicho alichoongea inabidi achukuliwe hatua sio sawa.
Ushahidi huo hapo
Mbunge yule standard 7 B aliwahi kutamka maneno hayahaya, akimaanisha kwamba Magufuli kawekwa pale na wanaCCM na hapaswi sasa kuanza kuwatisha/au wanachama kumuogopa. Hayana shida haya maneno, ndio maana Msukuma hakuitwa ili apimwe mkojo.
Noma! Na bado tutasikia mengi..Tumefikia mahali tunahitaji semina elekezi ili kuamua wapi na kwa watu gani misemo au methali zitumike?
Akizunguzma na waandishi wa wahabari mahakamani Kisutu, Fatuma Karume kasema kuna msemo wa kiswahili unaosema kuwa " kinyago ulichochonga mwenyewe hakitakiwi kukusumbua"
AKAENDELEA kusema kuwa Rais MAGUFULI sisi ndio tuliomchagua na kumuweka.
Kwa hiyo anamfananisha Rais na kinyago cha kuchonga kuwa wananchi ndio waliochonga hicho kinyago?
Huyu MZANZIBARI kwenye hicho alichoongea inabidi achukuliwe hatua sio sawa.
Ushahidi huo hapo
Aisee mbona siku hizi unabusara sana ? Ngoja nitangulize hongera za dhati kwako ...kama mtu kaiiba id yako vile.. lakin huku ndio kwenda na midundo ya hoja sio wengine ni kuvamia tuLugha ya picha tu hiyo, don't get sore..
Ila wakili naona angestick kwenye technicalities za kesi zaidi, kama mahakama au polisi wamemuoneaje mteja wake.
mambo ya Magufuli aachane nayo, maana mambo yalivyo nae tutashangaa mkuu wa wilaya ameagiza kesho akamatwe kwa kumkashifu rais