you don't know me fugees, you never didAisee mbona siku hizi unabusara sana ? Ngoja nitangulize hongera za dhati kwako ...kama mtu kaiiba id yako vile.. lakin huku ndio kwenda na midundo ya hoja sio wengine ni kuvamia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
So kumbe still masquarads are there..you don't know me fugees, you never did
!
!
Ila kufananisha na tingatinga ni sawa?
chama cha makinikia akili zao washaweka rehani hawawezi kuelewa ulichokiandika japo kuwa watasoma na kuwakaa akiliniUkikataza wananchi kumsema rais kwa bezo na kejeli (Fatma Karume hata hajafika huko, katumia tafsida tu), umewaruhusu wampige risasi huyo rais na kumpindua katika mapinduzi ya kijeshi.
It is as simple as that.
The probability of a military revolution in any country is inversely proportional to the freedom to satirize the head of state.
The more you have freedom to satirize the president,the less you have the probability of a military revolution.
Chukua Marekani na Burundi kama mifano utaona hilo.
Watu wastaarabu huwa hatupinduani kwa kupigana risasi katika mapinduzi ya kijeshi.
Huwa tunapinduana kwa vijembe, kejeli, utani, misemo.
Nimempenda bure Fatma Karume.
Sasa ww utaogopa kinyago?Huo ni mfano tu hata Msukuma aliwahi kuutumia bungeni.
umesahau ishu ya muungano pia wazanzibar hawatamuelewaFatma Karume anatuongelea wengine mamilioni wengi sana, Magufuli akitaka kuthibitisha kwamba yeye ni Dikteta Uchwara ambugudhi Fatma Karume.
Issue itachukua sura tofauti.
Huyo Tundu Lissu anaweza kusema ni mpinzani wa kisiasa, kuna mengi yana utata.
Akimgusa Fatma Karume dunia nzimaitamuandika Magufuli kwamba anasakama mpaka mawakili wanaotetea watejakwa mujibu wa haki za kikatiba, atakuwa kajiingiza katika beef na mitandao ya wanasheria wa dunia nzima.
Kuna watu wamekaa wanagojea tu waone atafanya nini.
If that's how you see it.
Siyo kidogoZero brain mleta mada
Bless I