Kwa mara ya kwanza Tanzania ilizalisha wakimbizi huko Zenj kwa uongozi wa babake Shangazi,amewahi kuhoji wale watu waliouawa wakati wa utawala wa babaye??Kwenye siasa hakuko hivyo wewe kama ni mtoto wa mwanasiasa ,baba akibugi sio kwamba ni familia nzima kuna watoto wangapi wa madikteta wamekuja kuwa watu wazuri baada ya wazazi wao kufariki??na kwa kesi ya zanzibar hadi hiyo hali kuiona hivyo kiasi fualani imechangiwa sana na baba yake kwani uhasama ulikuwa umefikia pabaya sana kipindi cha komandoo na hadi karume alipomuita maalim seif na kuweka mambo sawa hadi ccm wenzake wakamuona kuwa ni msaliti na kuanza kumuita majina ya ajabu ajabu tu!!alipotoka ndio balaa hilo la uchaguzi wa 2015,likatoea!!SHANGAZI toka baba yake yupo madarakani palipokuwa na la kusema alisema japo sio kwa kiwango hiki .
Kwa hiyo kama baba yake alifanya unyama hiyo ndiyo justification ya utawala huu kufanya unyama na yeye haruhusiwi kukemea????Huyo binti anayejidai kuyaongelea sana MAPUNGUFU ya kisiasa hasa kwa wakati huu je ni kipi hasa anachopingana nacho na hakikufanywa na baba yake?!
Kama ni unyama wa kisiasa baba yake alimfanyia sana Yule bwana.Leo yaleyale eti anajifanya kuyapinga!
Je kipindi baba yake akiwafanyia wenzake hayo huyo binti hakuyaona?!
Utakuwa mpuuzi tu wewe hiyo pesa ya umma waliibia wapi? Kwetu hakuna aliyewahi kuwa mtumishi wa serikali kwa taarifa yako.Trust me ulisoma na pesa za serikali ya CCM. Kama unajishebedua hapa umesoma na pesa ya wazazi wako na wazazi wako waliiba pesa ya umma. Umesomeshwa na CCM. Matusi yakuingie vizuri sasa!
Pathetic!
CCM mmeshikwa pabaya na Binti Fatma Karume mmebaki mnakenua kumuwinda kama fisi.Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) na ambaye pia ni mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, Aman Abeid Karume amejikuta katika wakati mgumu pale alipoaandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa hajasomeshwa na Serikali ya CCM bali pesa za Biashara za baba yake na Mfuko ya AGHAKHAN na Mkopo wa Bank ya London,
maneno hayo yamewapandisha hasira wachangiaji huku wakihoji Biashara gani Baba yake alifinya wakati historia inaonesha baba yake maisha yake mengi ameyatumia kwenye siasa. aidha wamehoji ni Watanzania wangapi wemeweza kusoma kwa Mifuko ya Taasisi kubwa kama Aghakhan na Mikopo ya Mabenki makubwa kama London Bank kama siyo watoto wa Vigogo.
Mashambulizi hayo yamemfanya Mwanaharakati huyo mara kadhaa kuwa-block wale wote walioandika maneno yenye ukweli ndani yake na yanayomchoma.
View attachment 819312
View attachment 819313
View attachment 819314
View attachment 819315
View attachment 819317
View attachment 819318
View attachment 819319
View attachment 819320
View attachment 819321
View attachment 819322
Acha upunguani wewe kwa hiyo unajustify kwamba kwa vile baba yake alifanya unyama na huyu mpuuzi afanye ?karne hii tumchekee tu ?Aisee!Maana kama ni unyama wa kisiasa baba yake alishawahi kuufanya wa kutisha kwa wapinzani wa eneo lile!
Ajabu leo eti anathubutu kuyakemea yaleyale yaliyo pata kufanywa na mzazi wake.
Lumumba nzima imesimamisha kazi zake wanawaza namna ya kummaliza Fatma Karume.Niujinga kuanza kuzungumzia mtu mmoja wakati wezi wa inchi hii (ccm) wako pembeni wekeni tofauti zenu pembeni tutetee Katiba mpya.
Anakuja kukumbuka haya maovu baada ya baba yake kuachia madaraka?Kwanini hakuwa anakosoa baba yake alipokuwa Ikulu ya Zanzibar?Sasa baba yake alifanya kosa ndio yeye!? Au baba akiiba basi mm mtoto wake napaswa kushabikia wezi!?
Mpuuzi ni wewe ambaye una fikra mgando ukiamini kuiba pesa ya umma ni lazima uwe mtumishi wa serikali. Lugumi alikuwa mtumishi wa Idara gani?Utakuwa mpuuzi tu wewe hiyo pesa ya umma waliibia wapi? Kwetu hakuna aliyewahi kuwa mtumishi wa serikali kwa taarifa yako.
je maalim aliwahi kuzikataa zile pesa alizo kuwa ana pewaaa... aliwahi kutamka waziwazi kuwa ameongwa na kukataa... watoto wa familia moja hao wanacheza segere au mdundo mmojaHoja kubwa na ya msingi hapa ni kuwa Fatma alishawahi kumuuliza "mshua" kuhusu wizi wa kura za Maalim Seif? Alikemea na kuhoji hilo hata kimoyo moyo?
Hizo Tweets amejibu kama muuza vitumbua kwa mtogole na sio Rais wa TLS. Kukaa kimya ni busara pia.
Shame!
Amesema ukweli hajasomeshwa na pesa za ccm kasomeshwa na pesa za babaake. Kama babaake alikopa alikuwa ni mfanyabishara hiyo ilikua mbinu ya baba ya kuendesha maisha yake na familia yake. CCM haimsomeshi mtu. Baadhi ya wanaccm uelewa bado Ni tabuRais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) na ambaye pia ni mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, Aman Abeid Karume amejikuta katika wakati mgumu pale alipoaandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa hajasomeshwa na Serikali ya CCM bali pesa za Biashara za baba yake na Mfuko ya AGHAKHAN na Mkopo wa Bank ya London,
maneno hayo yamewapandisha hasira wachangiaji huku wakihoji Biashara gani Baba yake alifinya wakati historia inaonesha baba yake maisha yake mengi ameyatumia kwenye siasa. aidha wamehoji ni Watanzania wangapi wemeweza kusoma kwa Mifuko ya Taasisi kubwa kama Aghakhan na Mikopo ya Mabenki makubwa kama London Bank kama siyo watoto wa Vigogo.
Mashambulizi hayo yamemfanya Mwanaharakati huyo mara kadhaa kuwa-block wale wote walioandika maneno yenye ukweli ndani yake na yanayomchoma.
Hayo ungemuuliza Fatuma atoe majibu....je maalim aliwahi kuzikataa zile pesa alizo kuwa ana pewaaa... aliwahi kutamka waziwazi kuwa ameongwa na kukataa... watoto wa familia moja hao wanacheza segere au mdundo mmoja