TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) na ambaye pia ni mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, Aman Abeid Karume amejikuta katika wakati mgumu pale alipoaandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa hajasomeshwa na Serikali ya CCM bali pesa za Biashara za baba yake na Mfuko ya AGHAKHAN na Mkopo wa Bank ya London,
maneno hayo yamewapandisha hasira wachangiaji huku wakihoji Biashara gani Baba yake alifinya wakati historia inaonesha baba yake maisha yake mengi ameyatumia kwenye siasa. aidha wamehoji ni Watanzania wangapi wemeweza kusoma kwa Mifuko ya Taasisi kubwa kama Aghakhan na Mikopo ya Mabenki makubwa kama London Bank kama siyo watoto wa Vigogo.
Mashambulizi hayo yamemfanya Mwanaharakati huyo mara kadhaa kuwa-block wale wote walioandika maneno yenye ukweli ndani yake na yanayomchoma.
maneno hayo yamewapandisha hasira wachangiaji huku wakihoji Biashara gani Baba yake alifinya wakati historia inaonesha baba yake maisha yake mengi ameyatumia kwenye siasa. aidha wamehoji ni Watanzania wangapi wemeweza kusoma kwa Mifuko ya Taasisi kubwa kama Aghakhan na Mikopo ya Mabenki makubwa kama London Bank kama siyo watoto wa Vigogo.
Mashambulizi hayo yamemfanya Mwanaharakati huyo mara kadhaa kuwa-block wale wote walioandika maneno yenye ukweli ndani yake na yanayomchoma.
Last edited by a moderator: