Fatma Karume kujitosa kwenye siasa?

Fatma Karume kujitosa kwenye siasa?

Karibu kwenye siasa Fatuma ,ila jipange maana siasa nikama ngumi ukiwa nje unadhani ni rahisi kumtwanga bondia mwenzio za uso ,ukiingia ulingoni ndo unajua nini ni nini..........
 
Akili zao hawa ndio zilivyo, mtu akikasirishwa na uvundo wa CCM basi hata kama ni mwanzilishi wa CCM ataonekana mpinzani wao.
Kwa maana hiyo sifa kuu ya kuwa mwanaccm ni kutosikia au kunukiwa na uvundo wa CCM
Ya Mbowe na Kigogo mmeyamaliza? Maana uvundo Wa Mbowe mnavyoutetea sikutarajia ungepata ujasiri Wa kuyaandika haya.
 
"Nime-dare kuchukua kesi ya Ado kumpeleka Rais Mahakamani ili nihakikishe anafuata katiba yetu. Feleshi (Jaji Kiongozi) ananishughulikia ili kesi zote za kikatiba ninazozisimamia zikose mtu wa kuzisimamia.

May be Mungu anataka niingie kwenye kitu kingine. May be kuwa Wakili is no more a place I'm supposed to be. May be I'm supposed to be in politics. Waswahili wana msemo, ukimpiga chura teke umemuongezea mwendo. So I'm very relaxed.

Ni muda wa kutafakari. Alot of people wamenishawishi Fatma ingia kwenye politics. Nilikuwa sitaki kwa sababu niliamini naweza kuleta mabadiliko Tanzania kwa kutumia sheria. Mahakama inaniambia usijaribu, ukijaribu TUTAKUONDOA. Hiyo ndio message niliyotumiwa". Wakili Fatma Karume

Msikilize zaidi hapa chini:


Huku kwenye siasa Hatutaki Mihemko. Panic na Povu acha Huko kwenye uwakili. Narudia Tena Mwambie Hatutaki Shobo.
 
Huyo mama ajue huwezi kushindana na serikali... labda kuwe na wananchi vichaa waandamane kama misri... kosa lolote liwe linamgusa mwananchi directly ndio kutakuwa na mabadiliko... it's up to her achague siasa au sheria.. na akiingia upinzani atapotea tu maana upepo wa sasa ni chama tawala tu... nchi ni huru hivyo hana pa kwenda kama yule mkulima na ndege yetu ambayo kwa raia ni kama zero ila kwa serikali ni mtaji wa kisiasa
ulisoma ulichoandika kabla ya kupost?
 
Watawala wetu wamemsukuma Mh. Fatuma Karume mpaka ameenda kuangukia kwenye siasa. Leo nimemsikia BBC akisema mabadiriko Kenya hayakuletwa na mahakama wala wanasheria- yameletwa na siasa; TUMETENGENEZA SLAA MWINGINE- watakao kuwepo utawalani wakati atakapo kuwa amekomaa wamtafutie Ubalozi mapema
 
Watawala wetu wamemsukuma Mh. Fatuma Karume mpaka ameenda kuangukia kwenye siasa. Leo nimemsikia BBC akisema mabadiriko Kenya hayakuletwa na mahakama wala wanasheria- yameletwa na siasa; TUMETENGENEZA SLAA MWINGINE- watakao kuwepo utawani wakati atakapo kuwa amekomaa wamtafutie Ubalozi mapema
Nitajie jambo moja la maana au la kipumbavu alilowahi kulifanya Fatma Karume kiasi cha kumuweka kwenye Political heights kama mnavyomtarajia?
 
Fatuma Karume anakabidhiwa kadi ya ACT WAZALENDO wiki hii, CHADEMA mmepigwa chenga tena
 
Mbona yupo kwenye siasa kitambo tu.
 
masikini, sijui kama yeye atapata nafasi ya kusema, "i survived to tell a tale".
 
Fatama siasa hawezi, hana uwezo wa kuongea akaeleweka.
 
Mbona ka-give kirahisi hivyo! Hawezi hata ku-challange maamuzi ya Fereshi popote?

Siyo kila chura anayepigwa teke anaongezewa mwendo kuelekea kwenye uelekeo sahihi, wengine hutandikwa kuelekea kwenye maji moto.

Halafu mambo yake ya kutetea ushoga akiyapeleka kwenye majukwaa ya siasa anajizika labda huko kwao Mwembebasha.
 
Huyu shangazi wao ataweza kuvumilia matusi yaliyopo kwenye siasa? Siasa si lelemama unatakiwa kuwa ngozi ya chuma.


Kwenye siasa na kutoleana skendo ni kitu cha kawaida tu ila shangazi yenu panic zake atawafungulia mashtaka watu wangapi?
 
Back
Top Bottom