Fedor von Bock
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,321
- 2,157
Hivi huyu mama mmewe mbona simuoni saaana au ....
mbona haulizi waume wa viongozi wengine kama akina tuli, mhanmgama et al,
Hivi huyu mama mmewe mbona simuoni saaana au ....
kwani akienda bungeni atabadilisha nini ambacho kina Lissu, Mnyika, zitto, Mbowe, Matiko, Mdee wameshindwa?Akienda kugombea ubunge kule Pemba ni saa saa 3 asubuh atakuwa ameshapita Kwa Kura zote...
Serikali imebugi Sana kuruhusu huyu Dada kuingia bungeni ni Bora angebaki kule Kwenye Sheria maana atawanyoosha kwelikweli mjengoni
Mwepesi sana huyoMimi naunga mkono aingie kwenye siasa. Kujitosa kwenye siasa hasa za upinzani kwa wakati huu kunahitaji ujasiri. Yeye ni jasiri kwa yale aliyothubutu kuyafanya kwenye sheria. Kama wanamuogopa kwenye sheria, kwenye siasa atatisha zaidi.
Mtazamo wa mtu mwoga..Huyo mama ajue huwezi kushindana na serikali... labda kuwe na wananchi vichaa waandamane kama misri... kosa lolote liwe linamgusa mwananchi directly ndio kutakuwa na mabadiliko... it's up to her achague siasa au sheria.. na akiingia upinzani atapotea tu maana upepo wa sasa ni chama tawala tu... nchi ni huru hivyo hana pa kwenda kama yule mkulima na ndege yetu ambayo kwa raia ni kama zero ila kwa serikali ni mtaji wa kisiasa
Wewe huoni mabadiliko?! Hata awareness kwa watu ni moja nani hatua ya mabadiliko.kwani akienda bungeni atabadilisha nini ambacho kina Lissu, Mnyika, zitto, Mbowe, Matiko, Mdee wameshindwa?
Mwepesi sana huyo
Siasa zinataka hesabu,huyo muda wote yeye jazba tu
Tatizo la humu hatujaniNakuonea huruma wewe kwangu pakavu tia mchuzi.
Huyo kazaliwa ccm na hapo alipo ni kwa huduma za ccm lkn bado haitaki kabisa lkn wewe kajamba nani ndiyo unajikomba komba kwa ccm!
Tatizo la humu hatujani
Na sio mtu mwenye asili ya njaa, huyo anafaa maana wengi wanaangushwa kwenye misimamo yao na njaa tuuMimi naunga mkono aingie kwenye siasa. Kujitosa kwenye siasa hasa za upinzani kwa wakati huu kunahitaji ujasiri. Yeye ni jasiri kwa yale aliyothubutu kuyafanya kwenye sheria. Kama wanamuogopa kwenye sheria, kwenye siasa atatisha zaidi.
Shangazi, MWANA WA MIHUNZI HUWA MUHUNZI, ukija huku siasani, NYEUSI KUWA NYEUPE HATUSHANGAI KWAKUWA mwalimu wetu mkubwa ni MTIZAMO usije ukathubutu kuuliza inakuaje jibu litakua hapo juu ni MTIZAMO."Nime-dare kuchukua kesi ya Ado kumpeleka Rais Mahakamani ili nihakikishe anafuata katiba yetu. Feleshi (Jaji Kiongozi) ananishughulikia ili kesi zote za kikatiba ninazozisimamia zikose mtu wa kuzisimamia.
May be Mungu anataka niingie kwenye kitu kingine. May be kuwa Wakili is no more a place I'm supposed to be. May be I'm supposed to be in politics. Waswahili wana msemo, ukimpiga chura teke umemuongezea mwendo. So I'm very relaxed.
Ni muda wa kutafakari. Alot of people wamenishawishi Fatma ingia kwenye politics. Nilikuwa sitaki kwa sababu niliamini naweza kuleta mabadiliko Tanzania kwa kutumia sheria. Mahakama inaniambia usijaribu, ukijaribu TUTAKUONDOA. Hiyo ndio message niliyotumiwa". Wakili Fatma Karume
Msikilize zaidi hapa chini:
Wewe jamaa na hicho kizungu chako cha ugoko bado sana. Kuchanganya changanya lugha ndio nini?
Kwanini usiseme atakuwa ni mwana CCM MTIIFU?Mbunge wa Viti maalum kupitia ACT 2020
Kwanini usiseme atakuwa ni mwana CCM MTIIFU?
Bado tu hujui kuwa Kiswahili kimechanganya lugha za makabila tofauti?...Kuna watu mnachanganya lugha za kikabila ni kiswahili
Akili zao hawa ndio zilivyo, mtu akikasirishwa na uvundo wa CCM basi hata kama ni mwanzilishi wa CCM ataonekana mpinzani wao.Kwanini usiseme atakuwa ni mwana CCM MTIIFU?