Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 752
- 3,092
Wakili Fatma Karume amesimamishwa kufanya kazi za Uwakili Tanzania Bara, Maamuzi hayo yametolewa na Jaji Feleshi kwenye kesi iliyofunguliwa na mwanaJF Ado Shaibu akipinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG). Fatuma Karume amesema kuwa maamuzi hayo yametolewa bila yeye kusikilizwa.
Mahakama Kuu imeamuru Fatma apelekwe kamati ya maadili ya Mawakili kwa madai ya kushambulia ofisi ya Mwanasheria Mkuu.
Akihabarisha katika ukurusa wake wa Twitter, MwanaJF Ado Shaibu ambaye ndiye aliyefungua kesi hiyo amesema kwamba...
1. Kesi yangu dhidi ya Rais Magufuli imeondolewa "struck out" kwa kumjumuisha Mh. "John Pombe Magufuli". Wakili wangu Fatma Karume atafafanua.
2. Wakili Fatma Karume amesimamishwa (suspended) uwakili kwa maneno yake kwenye "submission" ya kutetea kesi yangu.
Pia, mwanaharakati na mwanaJF Suphian Juma amenena haya kuhusu Fatma Karume kusimamishwa Uwakili
''Kitendo cha Fatma Karume kusimamishwa uwakili kisa tu anaisimamia kesi ya Kikatiba ya
Ado Shaibu dhidi ya Rais Magufuli kumteua AG kimakosa, ni ishara kwamba muhimili wa Mahakama unazidi kugeuzwa kuwa tawi la Serikali. Na hii ni kutulaghai kwamba Rais yupo juu ya Sheria, #Ushamba''
Pia soma
Mahakama Kuu imeamuru Fatma apelekwe kamati ya maadili ya Mawakili kwa madai ya kushambulia ofisi ya Mwanasheria Mkuu.
Akihabarisha katika ukurusa wake wa Twitter, MwanaJF Ado Shaibu ambaye ndiye aliyefungua kesi hiyo amesema kwamba...
1. Kesi yangu dhidi ya Rais Magufuli imeondolewa "struck out" kwa kumjumuisha Mh. "John Pombe Magufuli". Wakili wangu Fatma Karume atafafanua.
2. Wakili Fatma Karume amesimamishwa (suspended) uwakili kwa maneno yake kwenye "submission" ya kutetea kesi yangu.
Pia, mwanaharakati na mwanaJF Suphian Juma amenena haya kuhusu Fatma Karume kusimamishwa Uwakili
''Kitendo cha Fatma Karume kusimamishwa uwakili kisa tu anaisimamia kesi ya Kikatiba ya
Ado Shaibu dhidi ya Rais Magufuli kumteua AG kimakosa, ni ishara kwamba muhimili wa Mahakama unazidi kugeuzwa kuwa tawi la Serikali. Na hii ni kutulaghai kwamba Rais yupo juu ya Sheria, #Ushamba''
Pia soma
Ado Shaibu amshtaki Rais Magufuli Mahakama Kuu kupinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Mimi @AdoShaibu nimemwelekeza wakili wangu Fatma Karume ambaye ni wakili wa mahakama kuu, kufungua kesi mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam kumshtaki Rais @MagufuliJP na Mwanasheria Mkuu kwa ajili ya kupinga uteuzi wa AG usiofuata masharti ya Katiba. ----- KWANINI NIMEMSHTAKI RAIS...
www.jamiiforums.com
Tumempeleka Rais Magufuli Mahakamani kwa malengo maalum
Tunamshtaki Rais Magufuli Mahakamani kwa Malengo Maalum. Tangu mwaka jana nilipokata shauri kufungua kesi Mahakama Kuu ya Tanzania kupitia kwa Mwanasheria wangu Wakili Fatma Karume kupinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dk. Kilangi, kumekuwepo na mjadala kuhusu maeneo kadha wa kadha ya...
www.jamiiforums.com
Hukumu ya Ado Shaibu Vs Magufuli kesho
Mahakama Kuu ya TZ Chini ya Jaji Kiongozi Dk. Feleshi kesho tarehe 20 Sept ( Saa 7.00 Mchana) inatarajia kutoa hukumu ndogo (Ruling) khs mapingamizi yaliyowekwa na Serikali kwenye kesi ya Ado Shaibu Vs. John Pombe Magufuli & Others kupinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dk. Kilangi...
www.jamiiforums.com